kweli watanzania njaa zitatuua,prof kitila amesahau shida baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu ameona haitoshi bora achukue na kadi ya ccm kabisa,ili kusudi next time awe minister kabisa,hii ndio aina ya maprofesa wanaopatikana africa hasa tanzania...
kweli watanzania njaa zitatuua,prof kitila amesahau shida baada ya kuteuliwa kuwa katibu mkuu ameona haitoshi bora achukue na kadi ya ccm kabisa,ili kusudi next time awe minister kabisa,hii ndio aina ya maprofesa wanaopatikana africa hasa tanzania...
hao ni matapeli wakubwa jiepushe nao kabisa,huwa wanabadilisha web site yao na kutangaza kazi za kitapeli ukiomba wanakupa link ya consultancy firm ya kukufanyia par test ambayo wanaanza kukuuliza payment kwa njia ya mpesa,
kuweni makini matapeli wengi siku hizi...
hawa wahuni wamerudi kama Tear aid africa,niliomba post ya project officer wakaniletea huo upuuzi wa PAR nimekimbia mbali,ni matapeli toka kenya hawajaanza juzi huu utapeli,tuweni makini na kujaribu kuwaeleza new graduates...
nipo arusha now,post nilimaliza mwaka jana kuna shule nikapata moshi ila wakawa hawalipi vizur,istoshe hawalipi kwa wakati maisha yakawa magum nikashindwa,
kama mimi dadangu,i'm in the same situation lakini bado na pambana,i wish tutafutane if possible,now kuna organization najitolea..kazi zimekuwa ishu kweli but one day yes tusikate tamaa...
hii nchi imeliwa imekwisha na kwa kigezo cha mbunge ajue kusoma na kuandika kuna uwezekano mkubwa wa hiyo mikataba kurudishwa kama ilivyokuwa awali,watanzania tubadilike dunia imebadilika maendeleo yanakwenda kwa kasi nchi za wenzetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.