ushamba tu, kuna wasanii wanafikisha views hadi billion wakini hata hawajigambi lakini wasanii wa Afrika na waafrika kwa ujumla kufikisha tu million 1 makelele mitandaoni hadi tunakosa kulala, imekua ni kujitambishia sasa mtu akitoa ngoma inakua tuone ni siku ngapi atafikisha views kadhaa
Mkuu hawa viumbe ni hatari sana kwa afya, ila mimi nahisi wengi wameolewa ila tu wanakuwa wanataka kuchuna watu wananiona kama nalalamika wanahisi nashindwa kuwapa hela ila hapana kama unatafuta mchumba usitangulize pesa mbele yaani mnajuana leo unaadha kuniuliza namiliki nini na nini we unataka...
Wao ndo michosho mkuu labda kama hujakutana nao sema labda kama ni utani tuu unafanyika humu ndani ila sio upendano...most of them they are after money na haimaanishi kama mimi siwezi kuwapa pesa ila tatizo kitu cha kwanza wao ni pesa namimi sitaki kudinyana tuu nataka maisha
mfano wako siwezi kukupa jibu make haiwezi ikatokea ukapenda watu wawili kwa ulinganifu, lazima kuwa na sababu ya kumpenda kila mmoja ana hivyo vitu ndo vitakufanya wewe uamue kuwa na yupi
Kaimba vizuri bana wacha nimpe sifa yake, kampoteza alouimba wimbo anasauti ya kumtoa nyoka pangoni, cha kufanya aanze kuachia mawe yake sasa japo sidhani kama uno lile litaendelea kuzunguka kama zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.