Recent content by MajaliwaJeremiah

  1. M

    Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

    We hata huelewi, mtu kuwa mjinga ni tusi? Maneo ya lugha chafu aliyotoa ni yapi?
  2. M

    Natarajia Mbowe kupinga utekelezwaji miradi saba ya ujenzi wa barabara kwa njia ya EPC+ F huku bara

    Unaandika vitu gani, kwani barabara zina uhusiano gani na mambo ya bandari?
  3. M

    Sakata la Bandari: Hayati Magufuli apewe maua yake

    Wewe ndo una roho mbaya kuliko watu wote duniani
  4. M

    Watumbuaji wa Awamu ya Tano walia njaa, waomba Rais Samia awarudishe kazini hata kwa vyeo vya chini

    Punguzeni kutuandikia ujinga, nchi za kiafrika ndiyo maana hazisongi. Wengi wanafikiria kwa matumbo na makalio
  5. M

    Binafsi napingana na takwimu za IFFHS

    Kwa hoja yako hii wewe ndiye mbumbumbu
  6. M

    Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

    Pamoja na utoto wake, hana tofauti na watoto wengine wanaothubutu kusema hawajui kitu kinachoitwa njaa
  7. M

    Utabiri wangu CAF

    CAF Champions Mamelodi CAF CC Young Africans
  8. M

    Vita ya urais 2025: Tundu Lisu vs Humphrey Polepole

    Nchi hii wajinga wengi sana
  9. M

    Kama sio Magufuli vitu hivi visingekuwepo Tanzania Milele

    14. Makao makuu Dodoma 15. Tanzanite Bridge 16. SGR 17. Msalato Airport 18. Vituo vya Afya kila kata 19. Hospitali kila Wilaya na Mikoa 20. VETA kila mkoa na Wilaya sana NB. Ameondoka hajakamilisha ujenzi wa shule kubwa za Sayansi kwa ajili ya watoto wa kike kama alivyokuwa ameahidi...
Back
Top Bottom