Sheria inasema ukikaa nje ya kituo chako cha kazi zaidi ya masaa sita unastahili kulipwa nusu ya DSA. Ukienda wilaya nyingine unalipwa DSA kwa ngazi husika. Nafikiri kosa ni kama wako kituoni hapo hapo na wakajilipa. Chief akifika kwako ndiyo siku ya kuchinja Ngombe aliyenona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.