Sasa kama adamu alikuwa mweusi vipi sasa mtu mweupe naye alitoka wapi? Maana mweusi na mweusi awezi kuzaa mweupe au mwarabu jibu swali ilo usi jifanye eti dini yako tu ndo ya kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo auja jibu chochote ukisema rangi ili anza kubadirika sasa kama original alikuwa mzungu mbona kuna watu weusi ambao wanazaliwa ulaya awa geuki rangi kuwa watu weupe? Kama nyingi ina badirika kulingana na hali alisi ewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama ao ndo wajinga zaidi uta kuta mtu ana sifia mungu alafu uki mubebea maiti eti afufuwe yeye aliye na mungu mwenye nguvu zaidi ana shindwa sasa uyo mungu wake mwenye nguvu ni kusema sema tu na wakati afanyi chochote cha kumfanya mtu ahamini kama ni mwenye nguvu kweli
Kwanza ninani aliye leta uchawi duniani ? Akiwa ni mungu sasa shetani ameusika aje apo na wakati mungu ndo chanzo cha kila kitu mungu asinge leta uchawi una amini tungeli ufanya? Sasa itawezakana aje umpime mtu alafu akikosea umwambiye eti uta muhukumu na wakati wewe ndo chanzo cha yeye kuaribu...
Kwani duniani kuna mtoto wa shetani?
NA kama ni ivo mungu mwenye upendo na sisi binadamu kwanini akunyanganya shetani ile nguvu ili isi zidi kumuangamiza kiumbe chake?
Ivi kuna faida gani ya kuitwa baba bora wakati watoto wako wana kosa amani ahuwasaidiyi kitu kusaidia kwako mtoto wako mpaka...
Acheni ivo mungu awezi mpima mwanadamu na wakati ana juwa mwanadamu si mkamilifu na kama ni ivo kwanini sasa ata tuhukumu na wakati yeye ndo chanzo cha sisi kufanya zambi? Amini usi amini uchawi upo na muna paswa kutofautisha kwamba uchawi na miujiza ni ndugu na mungu alileta uchawi kwasababu ya...
Kama uchawi uliletwa na mungu kwa mazumuni ya kumsaidia mwanadamu sasa aliye wa ambia wanadamu kuwa uchawi una uwa tena uki utumia vibaya ninani?
NA kama ni ivo mungu mwenyewe tena ana juwa mwanadamu si mkamilifu ata umwambiye nini ata kugeuka tu sasa alivyo tupa uchawi akujuwa kama tuta uwana...
Apo ume sema wongo mkubwa tukisoma biblia na koran vina tuambia mungu ni mwanzilishi wa kila kitu apa duniani yaani ni mwanzilishi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana kingine ni iki watu wafahamu kwamba si kila mwanadamu aliye umbwa na mungu ndo ana weza kufanya mihujiza apana ndo...
Acheni kutudanganya na mambo yenu ya kifreemason kila ou kicha ni abari za kifreemason ndizo ziko kinwani mwenu sasa kwa tarifa yenu akunaga vya kifreemason wala nini acha ni kupe uhakikisho sasa kama akunaga freemason wala nini
1 wanasemaga ukiwa freemason uta kuwa tajiri ilo sija likataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.