Recent content by Maistro 1

  1. Maistro 1

    Ni fedheha kuwa Mtumishi wa umma ngazi ya chini.

    Wewe una shida kubwa ya kisaiokolojia. Uko mjini au kijijini? Unayoongea mbona kama vile town hayawezekaniki? Au umehamisha tabia zote za kijijini kwenu na ukazileta town.?
  2. Maistro 1

    Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

    Issue ni kuwa wasukuma wengi walichelewa kwenye elimu. Na walivvyo soma sasa wangekuwa ivivyo miaka ya 80s na 90s na wao wangekuwa ivyo - ivyo.
  3. Maistro 1

    Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

    Anajua kizinza vizuri sana. Tatizo ni hujawahi kumsikia wewe. Unajua kwanini amekuwa converted to sukuma, kwa sababu wasukuma muna ukabila sana, so anaogopa kulipoteza kundi kubwa la wasukuma kwenye uchaguzi. Na wasukuma ni wabovu sana mku tayari kumchagua msukuma mwenzenu hata kama ni uwezo...
  4. Maistro 1

    Rais Kikwete ni "dhaifu"; Rais Magufuli ni "One man show"

    UNA HOJA ILA MAISHA YETU YAMEKUWA MAGUMU KULIKO KIPINDI CHA KIKWETE. SO HOJA YAKO INAKOSA NGUVU KABISA. UKIENDA JUKWANI UKASEMA IVI UTAZOMEWA SANA KWASABABU TU MAISHA YA RAIA WENGI YAMEZIDI KUWA MAGUMU KULIKO ILIVYOKUWA.
  5. Maistro 1

    Siri ya Rais Magufuli kuhusu uteuzi yabainika

    KAMA MUMEKOSA YA KUANDIKA KAENI KIMYA. SASA IMESAIDIA NINI. ALAAAAAAAA MUNATUBOA BHANA. SERIKALI YENU INA MWAKA 1 TU LAKINI TUMEICHOKA UTAFIKIRI INA ZAIDI MIAKA 20 KAMA YA MSEVENI. LIPI LA AJABU KULIKO KIKWETE? MUNABOA SANAAAAAAAAAAA.
  6. Maistro 1

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Not between line, but between lines, and this means that to look for or discover a meaning that is implied rather than explicitly stated. For me, he did not read between lines because of meaningless opinions.
  7. Maistro 1

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Hujui kingereza mrudie tena mwalimu wako wa sekondari
  8. Maistro 1

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Nchii hii ina didimizwa na wanaotaka kuitwa Prof. au Dr. Kabla hizi title hazijaanza kupewa mbwembwe angalau kulikuwa na unafuu.
  9. Maistro 1

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Soma aya moja tu ya mwisho au kiingereza kinakupa shida. After all hoja iliyomezani kuwa Muhongo na wizara yake taarifa walikuwa nayo. So waache kutulaghai na wajue kuwa UNAWEZA KUDANGANYA WATU WOTE KWA MUDA FULANI NA HUWEZI KUWADANGANYA WATU WOTE WAKATI WOTE. WAKATI WA KUDANGANYWA UKO UKINGONI...
  10. Maistro 1

    Rais Magufuli, unakumbuka Ulimwengu alizungumza nini na leo yanatokea?

    Kweli tunachezeana akili au tunapumbazwa na kweli ccm ni chanzo cha matatizo
  11. Maistro 1

    Rais Magufuli: Namshukuru Waziri wa Nishati na Madini kwa kutengua upandishaji wa bei ya umeme

    Mkuu wa nchi hana mvuto tena kama aliyoingia nao ikulu
  12. Maistro 1

    Tetesi: Siri ya TANESCO kupandisha umeme kuanzia January ni kulipa deni la IPTL

    Na ccm watapata wapi? pesa za kuchakachulia matokeo ya uchaguzi. Wee unafikiri hizo pesa za kuwalipa wasanii wote wale huwa zinatoka wapi? jiongeze mkuu, pesa huwa zinachukuliwa kwa viini macho vya kushindwa kesi, hapo upo?
  13. Maistro 1

    Tamko la Zitto Kabwe kuhusu madeni anayodaiwa, mshahara na mali alizonazo

    Mbona Zitto ana dissolve kiurahisi hivi, zile form hazidanganyi na hajaonyesha mchanganuo wowote na ajifunze kusimamia maamuzi yake amesha andika mshahara wake ni Tshs. 99,504,000 kwa mwaka mbwembwe zingine tena za nini?
  14. Maistro 1

    Tamko la Zitto Kabwe kuhusu madeni anayodaiwa, mshahara na mali alizonazo

    Zitto naona umeamua maksudi kuumbua watu, wanaojifanya wanabana matumizi tunataka kuwaona wana kuwa wa kwanza baada ya Zitto, then wakisimama kwenye majukwaa ndo tutawaamini vinginevyo tutawaona kama mashetani tu, maana shetani nae alijibadilisha kuwa malaika wa nuru kumbe ni muovu na ni muuaji.
Back
Top Bottom