Ni Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God (TAG) ambalo baba yake mdogo, Mch. Peter Golugwa ni mchungaji. Baba yake mdogo amewahi kugombea ubunge Arusha kwa tiketi ya TLP ktk uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995.
Mkuu,
Maazimio ya vyama vyote washirika wa UKAWA kwa Ubunge ni kwamba kila chama kifanye mchakato wa uteuzi wa ndani. Pale maafikiano yatakapotolewa hadharani, basi wale waliochukua fomu watarudishiwa pesa zao endapo Jimbo husika atakuwa amepewa mshirika mwingine wa UKAWA.
Makamanda walitoka muda wa saa 11:15 hivi. Mhe. Boniface Jacob, Mkiti wa Jimbo la Ubungo ma.mmoja wa makamanda walikuwa rumande alipata nafasi ya kuongea na waandishi wa habari na kuaema; wanao ushahidi wa kutosha kuhusu kuhusika kwa Mang'ula ktka mkakati wa kutaka kumwua Dr. W. P. Slaa.
Pia...
Hapa Kimara Matangini muda wa saa mbili walikuwa wamejazana watu ofisini wakisubiri kuandikishwa.
Naona Huu ni mkakati wa kupitisha katiba feki na uchaguzi wa mkuu wa mwaka huu. Aina mpya ya Rushwa. Yaani unaenda tu unasema mimi ni masikini na unaandikwa kwenye daftari. Hakuna utambuzi. Na kwa...
It is not the first time for Tanzanians to go 10 years without a president. And by the way we are always fine n we go ahead and repeat the same mistake. Wait 2015, n you will be suprised.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.