Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
Kuwa TISS ni dhambi ?anaonekana kaiva kwenye judo & taikondo
Lissu anaonekana kumuamini sana lakini unaweza kuta jamaa nae ni TISS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa TISS ni dhambi ?anaonekana kaiva kwenye judo & taikondo
Lissu anaonekana kumuamini sana lakini unaweza kuta jamaa nae ni TISS
Uko na ka clip hapo ka sauti ya Lissu akitoa hiyo kauli baada ya kumuwekea pingamizi Magufuli ?Mkuu umenifanya nichekee kwa sauti kubwa.
Jamaa ana mkwara mbuzi nakumbuka siku ile anamuwekea pingamizi Magufuli alisema tume isipomuondoa mh Magufuli katika orodha ya wagombea wataingia barabarani.
Hahahaha
Ni Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God (TAG) ambalo baba yake mdogo, Mch. Peter Golugwa ni mchungaji. Baba yake mdogo amewahi kugombea ubunge Arusha kwa tiketi ya TLP ktk uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995.Nimfahamuvyo kwa taaluma alisomea shahada ya kwanza ya uhasibu, alifanya kazi muda mrefu kwenye NGOs kabla ya kuingia mazima kwenye siasa akiwa kiongozi mwandamizi wa mkoa wa Arusha na baadaye Kanda ya Kaskazini. Ni Mchungaji wa Anglicana na namfahamu kama mwenyeji wa Singida
Wangekuwa wanatenda haki ,kusingekuwa na haja hata ya kujadili hilo. Ila kwasababu wameshindwa ipo haja ya kujiongeza kwa wale wasiotendewa haki.NEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bishaneni wenyewe kwanzaHajawahi kuwa CCM labda kabla ila siyo 2010
Mfano was akina maalim SeifAisee mkuu barikiwa Sana kwa kutoa angalau utambulisho,hii inakamilisha msemo usemao usimzarau usie mjua,kiongozi huyu yuko very simple na kwa kua umesema anatoka Zanzibar nimekubali ,nawapenda Sana wazanzibar Kama ndugu zetu pia Kama rafiki zangu ,hawanaga makuu ila wako vizuri kuanzia kiakili na busara nimeishi na naishi nao ,watu poa sana
Barabarani labda aingie yeye na mke wake.Mkuu umenifanya nichekee kwa sauti kubwa.
Jamaa ana mkwara mbuzi nakumbuka siku ile anamuwekea pingamizi Magufuli alisema tume isipomuondoa mh Magufuli katika orodha ya wagombea wataingia barabarani.
Hahahaha
Zimeisha mkuu au una habari,alafu niseme tu NEC kwa Sasa iachane kuingilia wagombea siku zilizobaki wajikite kuhakikisha uchaguzi unakua huru tu basi Kama ni jpm amechaguliwa kwa Uhuru na haki sawa, na Kama lissu kamzidi sawa na akubali katiba itamrida Kama rais mstahafu, na atajijengea heshima kubwa ndani ya tz na afrika kwa ujumla Kama sio dunia na wananchi Kama akifanya hivyo haitajalisha ni mazuri yapi au mabaya yapi ametenda akiwa madarakani bali tutahakikisha abugudhiwi,kwa kuomba serikali iliyo madarakani kusamehe na kuanza ukurasa mpya.ahakikishe Lissu anatumia siku7 alizopewa kwa mafanikio...
Hapa kidogo naelewa sasa ila huyu wa kutuambia "Ole" ni Mzanzibari duh... nilikuwa simwelewi elewiNimfahamuvyo kwa taaluma alisomea shahada ya kwanza ya uhasibu, alifanya kazi muda mrefu kwenye NGOs kabla ya kuingia mazima kwenye siasa akiwa kiongozi mwandamizi wa mkoa wa Arusha na baadaye Kanda ya Kaskazini. Ni Mchungaji wa Anglicana na namfahamu kama mwenyeji wa Singida
I following you but I don't reach you!Yaani CCM imemshika lisu kalio zote mbili, sasa asubili 28.10.2020 lazima ajambishwe hahaha
SahihiSikuwa namfahamu huyu mtu. Ila kwa nilivyoziona kampeni za Lissu ni dhahiri huyu jamaa ndo mrithi wa Kanali Abdulahaman Kinana kama Meneja Kampeni Bora zaidi kwa Siasa za Tanzania.
Kwahiyo Chadema bila mazao ya CCM hakuna kitu!Alikatwa kwenye kura za maoni CCM 2010 ubunge.
Duh.....Yaani CCM imemshika lisu kalio zote mbili, sasa asubili 28.10.2020 lazima ajambishwe hahaha
You follow him where you ?I following you but I don't reach you!