Recent content by Mahweso

  1. Mahweso

    Jina la Spika litashangaza wengi

    Zungu
  2. Mahweso

    Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

    Mama sio Polisi, sasa kama yanafanyika ili kuonekana Mama hafanyi kazi ni upuuzi wa hali ya juu sana, Polisi fanyeni kazi yenu
  3. Mahweso

    Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

    1.5 tirion ilipotea kipindi cha nani? Na usituchanganye kabisa , Kikwete aliruhusu watu kujadiri Wizi kwenye Nchi yao, yeye hata Kukopa alikuwa anakopa kwa siri Uchumi wa Gizani Yaani maufisadi yoooote ya Kipindi cha Kikwete uliyoyasema , tuliyajua kwasababu Kikwete mwenyewe alitaka tuyajue...
  4. Mahweso

    Rais Magufuli ni mfano hai wa 'nabii hakubaliki kwao'. Nchi nyingi zinamtamani, Watanzania tusiipoteze zawadi hii

    Wizi, ndio mlikuwa mnamsifu na kuiba mali za Watanzania, Ni Nchi gani ambayo inaweza kumruhusu Kiongozi kufanya vitu bila kufata Sheria au Katiba , yaani maneno yake ndio sheria Nchi gani inaruhusu upumbavu huo, Mmezoea kuishi kwa uongo kama yule mkalimani wenu Ndio maana tulikuwa tunaona...
  5. Mahweso

    Jeshi la polisi lamtaka mtu yoyote mwenye hofu na usalama wake kutoa taarifa polisi badala ya kulalamika mitandaoni!

    [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
  6. Mahweso

    GE2020 Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?

    Sio kweli wanakimbilia eti kisa utendaji Mzuri wa Raisi, bali ile kauli ya Hakuna kutangaza mpinzani kashisha, kwahiyo wenge wanakimbilia wakatangazwe, hakuna kingine ni kutimiza ndoto ambazo hawakuwa nazo kwa sababu ya ukandamizaji wa haki.
  7. Mahweso

    Muda umefika kwa Mbowe kujitathmini

    lipumba, Mbatia, Mrema na wengine wamempiyisha mgombea wa CCM, Mbowe khona na ndio maana hakuitwa Ikulu, hatuna wasiwasi na haya yanayo semwa, Chadema ni Chama makini hakiwezi kutumika na CCM. Jiandaeni tu kujua kwanini wanamshambulia Mbowe sana, 2020 hii, wanajua ugumu wa uchaguzi ndio maana...
  8. Mahweso

    Maoni ya mdau juu ya hotuba ya Rais. Tumewadharau wataalamu wa Afya, Rais anatoa ushauri wa kisiasa

    Doctor kasema, mnabisha nini? Tulichagua Doctor, Mwalimu, Hakimu, Mwanasheria, injinia, Mfugaji, Mkulima, Mvuvi , Mchungaji, Shehe, Rubani huyu mheshimiwa kila kitu anajua, Jopo la Madactari wa WHO alitumia vipimo sahihi kabisa kujua siku 14 ndio siku sahihi za kujua kuna maambukizi? Au hakuna...
  9. Mahweso

    Hadaa Mpya kwa Watumishi wa Umma Kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Bado naisoma nikimaliza nitachangia Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mahweso

    RC Paul Makonda: Mbowe ameahirisha mikutano ya CHADEMA baada ya mwanaye kuambukizwa Corona

    Zitto wewe kiboko, wameroga wameshindwa, wameamua kusema sasa wewe Mchawi hahahahahahaaaa\aaaaaaa ,Hatariiiiiii Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mahweso

    A Call For A Palace Coup: CHADEMA

    Mwaka huu Mbowe angetoka, lakini wapotee walipchukua fomu Kugombea uenyekiti wako CCM,haya CCM yuleteeni basi mgombea ambae hatahama basi mbona mnatuboa? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mahweso

    Rais Magufuli: Mtu akipotea, marufuku kuhusisha vyombo vya Dola, utakamatwa na utoe ushahidi

    Lwakini akae akijua watu wengi wanapotea wanapatikana Vituo vya Polisi, Kwanza mimi kuanzia Roma atekwe na kuambiwa atapatikana kabla ya siku fulani, nikatokwa kabisa na imani na hii Serikali, Swali Dogo, kwanini wakosoaji wa Serikali Ndio wapotee, wapigwe Risasi, wawe Ndio wahujumu uchumi...
  13. Mahweso

    Nadharia ya demokrasia ndani ya CHADEMA na ukomo wa kipindi cha Uenyekiti

    CCM haina haja uchaguzi, nashangaa hakuna mtu anaiongelea, wivu tu, chama Nchi nzima, kila Kata, kila kijiji, kila kitongoji, mbowe noma, mtajuta
  14. Mahweso

    Sumaye: Nimehamia Chadema kwa faida ya CCM

    Hiyo hapo sikiliza
Back
Top Bottom