Nipo katika mgogoro mkubwa katika mahusiano yangu na NINAOMBA wana MMU mnisaidie. Nisingependa kuueleza hapa kwa sababu mhusika pia ni member humu. Tafadhali mnisaidie nim PM nani na nani ambao wanaweza kunisaidia katika shida yangu hii! Sio active member sana humu ila ninaamini wapo watu wazima...
Nimeshuhudia ndoa ya kutoa nuksi, dah! Kijana aliingia chaka kwa mdada aliyeshindikana kwao, alipoenda kutambulishwa wazazi walifurahi maana walishamchoka kumbe nae bi dada alikuwa anataka kutoa nuksi tu. Kaolewa kwa harusi ya nguvu baada ya miezi 3 wakati mume yupo kazini bibie kahama nyumba na...
Hahaha, umenikumbusha enzizile tupo chuo kuna watu jamani walikuwa na maisha ya ajabu!!!Yaani anaigiza maisha ya hali ya juu ili hali ye wa mkate na parachichi hahahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.