Recent content by Mahunda Jr

  1. M

    Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

    Ni mtoto wangu wa kwanza tulimpeleka kituo cha afya akapatiwa dawa ila hali bado. Kwa anaejua zaid kwa mliotangulia kupata watoto kabla naomba msaada wa mawazo
  2. M

    Je, ni kweli Waislamu mnakatazwa kuhudhuria mazishi ya kikristo?

    Asipohudhuria mdibani mmuulize Ila asipohudhuria mazishi ni sawa. Mazishi ni ibada iwe kwa waislamu au wakristo na kila ibada ina taratibu zake na lazima zifuate na kutimia. Ikiwa mazishi ni ibada hakuna mkristo wala muislam anaeruhusiwa kushiriki ibada asiyoijua wala kuiamini. Ila kwa upande...
  3. M

    Msaada kuhusu ku-reseat NECTA IV

    Vp kuhusu hizi open schools
  4. M

    Msaada kuhusu ku-reseat NECTA IV

    Habari, Niko busy sana na maisha, ila kuna mtoto wa dada anataka ku reseat NECTA mwaka 2025 kwakuwa hakufanya vizur mtihan wake sababu ikiwa ni kuumwa sana muda mfupi kuelekea mtihan. Naomba kuuliza usajili kwajili ya necta unafanyika lini na taratibu zake kwa anaejua. Asante
  5. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Bikra wapo now days
  6. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Kwel bana. Ila wapo baadhi wameelezea kias chake japo hakuna kauli ya moja kwa moja
  7. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Nakazia hapa
  8. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Nifahamishe kuhusu hiyo ya bure mkuu
  9. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Hata hizi hospital za mkoa naweza kupata kipimo hicho
  10. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Umesema kwel
  11. M

    Msaada kuhusu kupima DNA

    Nakushukuru kwa ushaur huu
Back
Top Bottom