Ni mtoto wangu wa kwanza tulimpeleka kituo cha afya akapatiwa dawa ila hali bado. Kwa anaejua zaid kwa mliotangulia kupata watoto kabla naomba msaada wa mawazo
Asipohudhuria mdibani mmuulize
Ila asipohudhuria mazishi ni sawa.
Mazishi ni ibada iwe kwa waislamu au wakristo na kila ibada ina taratibu zake na lazima zifuate na kutimia. Ikiwa mazishi ni ibada hakuna mkristo wala muislam anaeruhusiwa kushiriki ibada asiyoijua wala kuiamini.
Ila kwa upande...
Habari,
Niko busy sana na maisha, ila kuna mtoto wa dada anataka ku reseat NECTA mwaka 2025 kwakuwa hakufanya vizur mtihan wake sababu ikiwa ni kuumwa sana muda mfupi kuelekea mtihan.
Naomba kuuliza usajili kwajili ya necta unafanyika lini na taratibu zake kwa anaejua.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.