Msaada wakuu
Simu yangu ni huawei ni used from china
Simu ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini
Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
nimekwepa kusoma coment za wengine kukwepa wasije kunitoa kwenye point....point yangu ni kwamba....ume sema biashara inaenda vizuri!na huyo jamaa haupo naye kimapenz kwa sasa na kama biashara inaenda vizur unatak partinership ya nn tena?....pia huyo jamaa kuwa nae makin wenda anatafuta njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.