nimesema rafiki wa kawaida kuepusha maswali kama yako ya wana Jf,hapo wangeanza kusema natafuta mwanamke,nooo sihitaji mwanamke tena ikiwezekana hao marafiki wawe wakiume tu kama mm,kazi yangu bro huitaji kuijua kihiiiivyo saaana,napenda saana kupiga story kubadilishana Idea,sijazungumza kumtoa...