Recent content by Mahiri

  1. M

    Mke wa mchungaji ananitaka

    Amina baba, basi wacha aliwe tu, hamna namna nyingine. Ila roho inauma baba~
  2. M

    Mke wa mchungaji ananitaka

    Nitakupata tu baba!
  3. M

    Mke wa mchungaji ananitaka

    Amina baba! Haya maisha ndio hivyo tena. Niliposoma mwanzoni nilipata hasira ya kibinadamu ila unavyosema ni vyema zaidi.
  4. M

    Nimeota Ndoto Lowasa Kawa Rais,

    Amina mwanangu
  5. M

    Mke wa mchungaji ananitaka

    Kanisa gani hapa Arusha? Kumbe ni wewe, sasa nimeshakujua! Ama lwako ama lwangu!
  6. M

    Amos Gabriel Makalla (MB)

    nimejaribu sana hapatikani
  7. M

    Amos Gabriel Makalla (MB)

    Huyu jamaa anaonekana hana shida na mtu, ni mchapa kazi na hana kambi. Kwa umri ni mdogo kuliko hata baadhi ya mizee ila anaonekana kujiheshimu sana (hata kujizeesha kiasi fulani). Ninacho jiuliza kwanini miaka yote hiyo hajajiendeleza kielimu? Hana ndoto? hana washauri? Nisaidie kumfahamu...
  8. M

    Makamba, Chai ya Tanga, na wamasai wa Ngorongoro

    Makamba kanifurahisha sana akihutubia wananchi wake Tanga: "Chai hii tunaitegemea kwa kila kitu, itulishe, ituvishe na ituinue". Amedhihirisha kwamba rasilimali zinazoizunguka jamii ndio msingi mkuu wa maisha yao. Swali ni je? Wamasai wa Ngorongoro ambao Kikwete ameamua wafe njaa kwa kukataza...
  9. M

    Miezi sita ya Kikwete kuwa Madarakani

    Kijana usipende kutukana, wala hilo haliongezi nguvu katika hoja yako. Soma hapa "Dar es Salaam. Tanzania has dropped eight positions in the list of Africa's most prosperous countries...
  10. M

    Miezi sita ya Kikwete kuwa Madarakani

    Kwa lugha nyepesi hii inaitwa diversion, ama trying to fit a square peg into a round hall, you will have to work too hard and seem to be doing so. Nimesoma majibu yako na kujaribu kuona kama unaelewa mada ya inclusion katika uongozi wa kitaifa kwa kutumia nafasi za uteuzi, wewe unaleta mambo ya...
  11. M

    Miezi sita ya Kikwete kuwa Madarakani

    Professor JK atagundua kitu kimoja namba ikibadilika kutoka 2014 kuwa 2015; kuwa miaka yake 10 imekwisha-never to return again. Kwa utafiti wangu mdogo, kafanya mazuri mengi, ila pia watu wanashangilia kila kona ya nchi kwamba kawa mzigo, hususan miji mikubwa ikiwamo Dar, Arusha, na Mwanza...
Back
Top Bottom