Recent content by mahiketujio

  1. mahiketujio

    Sitosahau siku nimekoswa kukamatwa Polisi kisa tamaa za kimwili

    Dahhhh umenikumbusha madm opiyo nlikuw namuuzia Ubuyu. Gani na ukali wake wote kwangu hakuwa na madhara kabisa. Nadhani hio ilikua 2007 hiv Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mahiketujio

    Bima ya afya ya vyombo vya moto

    Kabisa chief uliwaza kam nilivyowaza mimi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mahiketujio

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Hii landcruiser ni ya diesel chief Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mahiketujio

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Correction mileage ya 3b ni 308000 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mahiketujio

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Mkuu Kichuguu samahani binafsi ninamiliki landcruiser 70 series yenye engine ya 3b. Je ni oil ipi nzuri. Mileage is about 253000 kms. Pia nina hilux 12r ya zamani kidogo nani itumie oil ipi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mahiketujio

    Sauli na Al Saedy vinara wa ligi ngumu ya Dar es Salaam - Mbeya

    falcon mombasa, Hawa wanaokimbia wana avoid vipi king'amuzi??? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mahiketujio

    Mnaoenda na magari kulewa huwa mnarudi nayo vipi nyumbani?

    Hata ingekuwa manual gia 10 Bado ingefika nyumbani vizuri bila "scratch"yoyote Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mahiketujio

    Kuna nini Clouds FM hasikiki huku mikoani?

    goroko77, For sure hawapo hewani sijui nn kimetokea Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mahiketujio

    TANZIA: Muongoza watalii ajirusha mlima Kilimanjaro, afariki dunia

    Huyu mzee ndo alinipandisha mlima kwa Mara ya kwanza tena njia ya Umbwe japokuwa nilifail pale baranco. Rest in peace Mzee Sarumba. Now nipo mkoa mwingine ningehudhuria msiba
  10. mahiketujio

    LEO NI WRESTLEMANIA

    The man. Becky lynch kashinda Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mahiketujio

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    By that time ilikua 15 to 20 k per day mkiwa na bahati unaweza pata tip ya 5 au 10 mpaka 30dollars mda mwingine no tip at all. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mahiketujio

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    By the way kwenye porters kuna vitengo. Huwa kuna kitengo kinaniacha hoi kitengo cha kubeba choo. Kile choo kinatakiwa kisafishwe na kisafirishwe from camp to camp Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mahiketujio

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    Last time nimepanda as porter ilikua 2015 just imagine pprter ndo mtu wa mwisho kuondoka camp kwa sababu zile tents wanazolalia wageni inabd azianue azipack azibebe then aondoke nazo lakini tena anatakiwa afike next camp wa kwanza ili wageni wakute tents zimesimama tena plus food iwe iko tayari...
  14. mahiketujio

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    Kuna jiwe la kubusu na jiwe la mku........ hili la kubusu inabd upite kati ya mawe mawili yamebanana sana kwa lile la mbele linakua juu sana kuanzia chini kwa hio unakuwa kama vile unalibusu japo si lazima ni utaratibu tu. Then jiwe la mku....u lenyewe unapopita hio sehem hilo jiwe lazma...
  15. mahiketujio

    Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

    Hii ndo toughest ukifika karanga camp unachota maji lita 20 unabeba plus mixigo yako unatembea kwenda barafu camp. Waulize porters(mburuta )watakuambia mziki wa hio route unahc kufakufa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom