Recent content by Maheneko

  1. M

    Wale wa UDOM first year BED PSYCHOLOGY

    Wale wa UDOM first year BED PSYCHOLOGY tuonane education na tutambuane hapa
  2. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Tukutane education kwa walimu wenzangu BED PSYCHOLOGY
  3. M

    Vijana wa NACTE Tuwe na subira.

    Mi nimepata kupitia nacte
  4. M

    Waliochaguliwa udom kupitia nacte

    Jamani mi nimepata chuo mbona kupitia nacte
  5. M

    First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

    BED PSYCHOLOGY tuonane education
  6. M

    Jinsi ya kuahirisha mwaka wa masomo kwa first year

    Wapendwa naombeni mawazo yenu nimepata chuo lakini naona ruhusa kwa mwajili kama kuna utata sasa nawezaje kuahirisha masomo
  7. M

    Sifa ya kujiunga chuo

    Sekondari education
  8. M

    Sifa ya kujiunga chuo

    Jamani wandugu nisaidieni mawazo nimemaliza form six 2008 na kupata E mbili na S,Nikaenda diploma nikapata GPA ya 2.7 sasa nataka kwenda chuo nitumie cheti kipi?
  9. M

    Yaliyojiri Bungeni: Usomaji Bajeti ya Serikali 2015/16

    Ndugu wana jamvi nimesikitishwa kwa kitendo cha serikali kupandisha kodi ya mafuta ya taa kutoka sh 50 hadi 150 kwa kigezo kuwa wanadhibiti uchakachuaji je hii ni haki kweli? sheria zinatungwa ili iweje?
  10. M

    Mkulima aenda kuchukua fomu za urais, ashindwa kulipa milioni, atoweka

    Hamjui ikulu pale kuna biashara
Back
Top Bottom