Jamani wandugu nisaidieni mawazo nimemaliza form six 2008 na kupata E mbili na S,Nikaenda diploma nikapata GPA ya 2.7 sasa nataka kwenda chuo nitumie cheti kipi?
Ndugu wana jamvi nimesikitishwa kwa kitendo cha serikali kupandisha kodi ya mafuta ya taa kutoka sh 50 hadi 150 kwa kigezo kuwa wanadhibiti uchakachuaji je hii ni haki kweli? sheria zinatungwa ili iweje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.