Yani shida ni kwamba unakuta unanunua andazi ukitafuna ni michanga mitupu juzi nimenunua kalimati ikanishinda kila ukitafuna mchanga
Ona kama hilo bandiko hapo keki na zenyewe zimejaa mchanga kwa sababu wanaweka sukari yenye mchanga tayari
Ni shida kubwa sana
Wanajamvi
Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini
Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa ukaribu ili kupunguza madhara ya kiafya yanayoweza kujitokeza baadaya kwa walaji
Imekuwa ni jambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.