Recent content by Maharo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Fr. Charles Hugo Kitima, BSc, MSc. Phd Katibu Mkuu wa TEC?

    Aliekutuma mwambie asijaribu kutingisha meza yenye pombe za bei ghali
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vijana waanza kuulizia Ratiba na Njia za maandamano ya Amani ya 7/7

    Naishauri serikali iruhusu maandamano haya ya amani na polisi usithubutu kutumia nguvu kwa gharama yoyete
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar limenishinda kuishi. Wengine mnawezaje au mnajikaza?

    Dar ni sehemu ya hovyo sana kuishi kama mtu unajipenda na kuraka maisha ya utulivu Ni vile tu watu wanapashobokea lakini hapana jipya
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    💯% correct wanaongeza michanga humo kuongeza kilo waathirika wanakuwa walaji HILI NI JANGA KUBWA
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    Doh poleni sana sasa bora kwenye mchele waweza kuchambua mm nazungumzia unga wa ngano,sembe unakula ugali huku unakula na mchanga
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    Anataka kutuuwa waTanganyika wote tufe nini ili wabaki na nchi yetu maana ni shida
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    Yani shida ni kwamba unakuta unanunua andazi ukitafuna ni michanga mitupu juzi nimenunua kalimati ikanishinda kila ukitafuna mchanga Ona kama hilo bandiko hapo keki na zenyewe zimejaa mchanga kwa sababu wanaweka sukari yenye mchanga tayari Ni shida kubwa sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    Sure.... this is very dangerous
  9. M

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Umeona eeeh yani wanaume wamejaa utapeli
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hili suala ya michanga kwenye sukari na unga ni janga la Kitaifa mamlaka husiki angalieni hili

    Wanajamvi Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa ukaribu ili kupunguza madhara ya kiafya yanayoweza kujitokeza baadaya kwa walaji Imekuwa ni jambo la...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Yuko sahihi kabisa wanawake kuweni macho matapeli ya kiume yamejaa mjini
  12. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya waumini waliojitambulisha kama wakatoliki wamemshukia Askofu Ruwai'ch baada ya kauli yake ya 'lofa'

    Mkatoliki safi aliebatizwa hawezi kuropoka hovyo hovyo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Bibilia wameficha sehemu Yesu alitamka Allah kama ndio Mungu wake

    Hakuna kiarabu kwenye biblia kobazi we pambaneni na kiarabu chenu na allah wenu si hatumtambui
  14. M

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Bibilia wameficha sehemu Yesu alitamka Allah kama ndio Mungu wake

    We jua hakuna kiarabu kwenye Biblia period Msitake kulazimisha mambo
Back
Top Bottom