Recent content by MAHANYU77

  1. MAHANYU77

    UVCCM wamvaa Kijo Bisimba; Wamtaka akatae ushabiki awe mpambanuzi

    Huyu jamaa anaongea pumba tupu. Mimi sijaona kibaya alichoongea Mbowe kwani ni hali halisi Tanzania sasa tunaelekea kubaya na wa kulaumiwa si mwingine bali Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais JPM. Huu udhalimu wanaofanya hauna tofauti na ukoloni wa Waafrika wenyewe kwa wenyewe na hakika...
  2. MAHANYU77

    Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

    Inashangaza kwamba bado Watanzania wenye uelewa kama wewe unapigia debe Siasa za Kishabiki badala ya Maendeleo. Hivi kama CHADEMA wangeandamana unadhani madhara yangetokea kwa Waandamanaji tu? je wananchi wanaowazunguka? Kumbuka amani inapochafuka haingalii kwamba wewe uko chama gani bali...
  3. MAHANYU77

    Bundi atua CUF: Prof. Lipumba, Sakaya, Mbunge wa Mtwara mjini na wengine wasimamishwa uanachama

    Lipumba ni Professa mjinga zaidi kuwahi kutokea nchini. Ni jipu baya sana kwenye Siasa za Nchi hii
  4. MAHANYU77

    Tofauti kati ya Mrema na Lowassa kwenye ugombea urais

    Hahahaha jamaa amekil sio
  5. MAHANYU77

    Hotuba za Lowassa kama ndio hizi, Kazi ipo

    Na Magufuli je ndio mzuri wa speech au ni mihemko tu unaileta hapa? Ndorooboo wewe
  6. MAHANYU77

    Dr. Slaa amfuata Lipumba

    Leo ndio unamuona SLAA wa maana eeeh. MA-CCM bwana wakati mwingine wananishangaza sana. Wanawasema UKAWA kwamba wanakula matapishi yao kwa kumkaribisha LOWASSA lakini wakati huo huo wao wenyewe hawaoni kula matapishi yao wanapomsifu SLAA ambaye walikuwa wanamkandia na kumwita PADRE hawezi kuwa...
  7. MAHANYU77

    Swali Lisiloulizwa: Ikitokea Hivi Itakuwaje kwa Mgombea Urais CHADEMA?

    Kwa mtu anayependa mageuzi nchini hawezi kwamwe kuhoji uamuzi wa UKAWA kumsimamisha LOWASSA kama mgombea URAIS. Hii ni hatua muhimu sana katika juhudi za kuing'oa CCM madarakani.
  8. MAHANYU77

    Swali Lisiloulizwa: Ikitokea Hivi Itakuwaje kwa Mgombea Urais CHADEMA?

    Slaa ana maamuzi yake na yeye ni mwanachama wa CHADEMA kama wanachama wengine. Akiamua kuondoka CHADEMA ni maamuzi yake kumbuka alitokea CCM ambako alikatwa mwaka 1995 akaja CHADEMA na ndipo nyota yake kisiasa ilipong'ara. Kwahiyo CHADEMA kama chama kimenufaika sana na mchango wa SLAA kama...
  9. MAHANYU77

    Kama Rais Kikwete unaitakia mema Tanzania sitisha makabidhiano ya Katiba Pendekezwa

    Hapo sidhani kama atasikia sana sana ndio atazidi kudanganya tena kwasababu ameshaona kuwa WATZ wengi ni limbukeni na wanasahau haraka kama kuku wa kienyeji. Leo hii Pinda amewadanganya Waislamu kwamba serikali itapeleka mswaada wa mahakama ya kadhi kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano na...
  10. MAHANYU77

    Wanaume wafupi ni shida

    Ni kweli kabisa Tanzania, Zambia na nchi hizi za kusini mwa Afrika kuna wanaume wafupi sana. Na ndio maana hata kwenye mambo ya michezo hasa mpira inakuwa ni vigumu sana kupata timu huko ULAYA. Yaani inabidi ufanye kazi ya ziada sana.
  11. MAHANYU77

    Wanaume wafupi ni shida

    Ni kweli kabisa Tanzania, Zambia na nchi hizi za kusini mwa Afrika kuna wanaume wafupi sana. Na ndio maana hata kwenye mambo ya michezo hasa mpira inakuwa ni vigumu sana kupata timu huko ULAYA. Yaani inabidi ufanye kazi ya ziada sana.
  12. MAHANYU77

    Mabalozi Ujerumani, Uingereza, Marekani: Hatutahudhuria sherehe za katiba

    CCM ni kansa ya Maendeleo, Haki na Usawa nchini.
  13. MAHANYU77

    Askofu Benson Bagonza: Kwa matusi yake dhidi ya Kanisa, Samwel Sitta ni sawa na Goliati

    Ninyi CCM ndio wanafiki kama leo mnawaita Maaskofu na viongozi wa Dini kwamba wanaingiza Siasa Makanisani mbona sasa mwaka 2005 hao hao maaskofu walipomfanyia kampeni KIKWETE makanisani na kudai kwamba ni chaguo la Mungu hamkusema kitu? Wanafiki wakubwa ninyi.
  14. MAHANYU77

    90% ya kura za Siri zilizopigwa Bunge Maalum la Katiba ni "HAPANA"

    Sitta ameishiwa sasa anautaka URAIS wa 2015 kwa nguvu. Hapati ng'o
  15. MAHANYU77

    Israel Netanyau Aimaliza Hamas na Kuifananisha na ISIS

    donniebrasco Ni kweli Wayahudi wengi hawakumkubali Yesu na bado dini ya Kiyahudi ipo mpaka leo hilo hakuna aliyepinga. Lakini Wayahudi ni Taifa teule la Mungu na kutomkubali Yesu kulitabiriwa na Nabii Isaya yapata miaka 800 kabla ya ujio wa Yesu mwenyewe. Soma Isaya 7:14, Isaya sura ya 53...
Back
Top Bottom