Recent content by mahangu

  1. M

    Operation ya Waziri wa Uvuvi na Mifugo yawatia umasikini wananchi Kanda ya Ziwa, Musukuma amshukia...

    Unaesema hivyo itakuwa hsutoki sehemu yenye shughuli za uvuvi. Ama ni mtu unaesoma uvuvi kwenye makaratasi tu. Watu wanaotoka sehemu zenye uvuvi wanajua ndio mana juzi juzi wabunge wanaotoka sehemu hizo wameongea sana. Ni muhimu kushirikisha wadau husiku kwa karibu kabla ya kufanya maamuzi...
  2. M

    Operation ya Waziri wa Uvuvi na Mifugo yawatia umasikini wananchi Kanda ya Ziwa, Musukuma amshukia...

    Uvuv haramu haswa ni ule wa kuvua Na Sumu Na makokolo kama yanavuliwa nchi kavu. Lakini tujiulize dagaa utavulia na nyavu matundu yepi
  3. M

    Operation ya Waziri wa Uvuvi na Mifugo yawatia umasikini wananchi Kanda ya Ziwa, Musukuma amshukia...

    Sekata ya uvuvi watu wengi ambao hawatoki sehemu hizo hawazijui vizuri. Na makatazo hayo mengi yanategemea watu wanaosoma uvuvi kwenye vitabu tu. Katika maziwa yote wapo aina ya samaki ambao ukubwa wao mwisho inchi 1.5 sasa unapokataza Nyavu ya size hiyo hao samaki wavuliwe Na Nini? Kuna Mambo...
  4. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Nadhani hiyo inapendeza zaidi!
  5. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Sasa je! Kama mubashara anatisha kwa nini umseme aliye kwenye boksi?
  6. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Ha ha ha ha ukikaa vibaya unang'atwa humo humo majini.
  7. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Mbona nyie pia huwa mnatutesa sana na nguo za beach tunavumilia tu. Mapaja nje, nyonyo zikilowa maji ndio kabisa
  8. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Ya kawaida tu siku hizi! Nani anaona nyoka ni wa ajabu siku hizi? Ndivyo maumbile yalivyo hata uvae bukta au suruali na kwenda kuogelea ukilowa nyoka ataonekana tu dada. Si dhani kama anakushtua sana si umezoea kumwona mubashara
  9. M

    Political Capitalization: Kufuatia Kupendwa na Wengi na Kumhurumia, Je, Tumuombee Msamaha wa Rais, ili Aachiwe Huru?.

    Kwa hiyo lulu alifanyishwa sio? Daa nchi hii wananchi wake wakati mwingine ngumu kuwaelewa. Leo watashabikia fulani ahukumiwe kesho mtu mwingine kafanya kosa watatafuta huruma
  10. M

    Political Capitalization: Kufuatia Kupendwa na Wengi na Kumhurumia, Je, Tumuombee Msamaha wa Rais, ili Aachiwe Huru?.

    Kalivyokuwa kanafany uhuni mbona hakuna aliyeinuka na kusema ni katoto? Zaida kalilewa sifa na kuchanganya mabwana. Aende ili iwe fundisho kwake na wengine
  11. M

    Wanaume na nguo za swimming pool mnatutisha jamani

    Itakuwa Na wewe akili inawaza nyoka wakati huo [emoji3][emoji3][emoji3]. Nyoka hajawahi mwacha mtu salama
  12. M

    Political Capitalization: Kufuatia Kupendwa na Wengi na Kumhurumia, Je, Tumuombee Msamaha wa Rais, ili Aachiwe Huru?.

    Ndugu Mayalla pendekezo lako Kwa Rais lina walakini nyingi hasa kutokana na misingi uliyotumia , mfano apate umaarufu kaskazini, kukipa chama kalata, pia mharifu ni mtu anaependwa Na watu. Hapo hapo unasema unajua sheria. Sasa mbona unachanganya mambo? Kweli msamaha wa Rais utolewe Kwa hizo...
  13. M

    Mume wangu ana wivu sana, nifanyeje?

    Pole labda una mpa huduma Nzuri
  14. M

    Mchezo wa Biko wanashinda wenye namba za tigo tu na Wengi wanatoka Dar es Salaam

    Hata nimegundua hilo. Hivyo mchezo unaweza mtu usiwe na imani nao sana
  15. M

    Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

    Very logical point. Ndicho kilichotakiwa kufanywa. Je ufuate urasimu mtu afe useme tulikuwa tunafuata taratibu au kuvunje taratibu ili kuokoa uhai wa mtu? Uhai kwanza taratibu badae
Back
Top Bottom