TZS inafaa inachotakiwa ni kufungua account ya bank hata ya TZS lakini hiyo bank ikuhakikishie kwamba card yako wataruhusu ifanye online transaction, Bank ambazo nina hakika mpaka sasa ni Barclays,CRDB na Access ,Barclays kwangu mimi naona ni nzuri ila inagharama kubwa za uendeshaji kwasbb kila...
Inategemea unatengeneza App kwa kutumia njia gani, Kama unatumia Android Studio Unachotakiwa kufanya baada ya kumaliza kuitengeneza na kuifanyia testing ni kuisign na kutengeneza apk, angalia steps zake hapa kama unatumia android studio, Baada ya hapo utaweza kuupload hiyo app katika play...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.