Recent content by mahamoodmahamed

  1. M

    Hafikishwi kileleni afanyeje?

    Tafuta kinu kidogo mtwangio wake uukalie ndo mwisho wa matatizo yako.usisahau kuweka kautelezi kwy nonino wako.burudoka dadadadeki.
  2. M

    Tundu Lissu rudi Shule

    Hivi mbona mi sielewi.iweje zitto apeleke kesi mahkama kuu wkt anajua katiba ya chama cha chadema kikisema atakaye enda kufungua kesi huku si mwanachama tena? Na hii kesi mbona lissu hakutamka mapema kama ni kosa kwa mujibu wa katiba na nijuavyo hii kesi ina muda usopungua miaka 3.na mahkama...
  3. M

    Feedback: Mkojo umetibu maumivu kwenye meno yangu

    Toba! Jirani yangu pia aliwahi kutumia na anadai kapona kbs ila yeye alikuwa akinywa.jmn isije kuwa mwizi aliingiza mkono kwy tundu wakakata mkono.akamwambia mwenzie jaribu na wewe uone.ila kwa kusukutua hakika ni dawa.
  4. M

    Mpenzi wa kiume anahitajika

    Mmmmh toba.mara anakuwa mtoto si riziki wewe ukijua ni demu.tobaaaaa
Back
Top Bottom