Nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la kuumwa na meno kwa muda mrefu.. Na nimetumia dawa nyingi bila kupata ahueni yoyote.
Ila juzi kati nilisoma thread moja ivi ya Mzizi Mkavu nikaona jinsi ya kutibu Meno kwa kutumia mkojo wako wa asubuhi.
Daah nashkuru Mungu sasa ivi nimepona kabisa..
Ahsante sana
Mzizi Mkavu.
Ila juzi kati nilisoma thread moja ivi ya Mzizi Mkavu nikaona jinsi ya kutibu Meno kwa kutumia mkojo wako wa asubuhi.
Daah nashkuru Mungu sasa ivi nimepona kabisa..
Ahsante sana
Mzizi Mkavu.