Mwanaume hanuni ,wewe ndiyo kichwa cha familia unapaswa kusolve matatizo ya familia ,ndoa nyingi sasa hivi kwa sababu wanaume hawasimami katika nafasi zao,ndiyo maana tunapata watoto na Taifa lisilo na maadili kwa sababu ya wanaume kama ninyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.