Si kweli Mimi ninamiaka 60+ na Mke wangu miaka 53 na tunapiga mechi kama kawa, nakubaliana la kiafya, mshikaji wake lazima anatatizo, alafu hata kama kaichoka lazima kungekua na dalili za uchepukaji!!
Sawa inawezekana kashinda yeye ni Kura 200,007 na Dr Shein 178,363 jumla 378,370! wapiga kula ni zaid ya 500,000, je kura zaidi ya 121,630 zimeenda wapi??
Poleni sana wote Ndugu jamaa na marafiki, huu ni msiba wetu wote!!
Je hiyo ajali ilikuaje ili watu tujifunze kua Gas ni ya tahadhari??
Poleni sana MUNGU amrehemu Edson amin!
Pole sana, nadhani ni bora umekutana na huyu (mtoto wa Naniihii) ungekutana na Balozi mwenyewe najua asinge kukusaidia
hujuni huu usemi wa kiingereza?/ Like Father like son??
Pole ndiyo majanga yenyewe hayo kazi za kupeana kindugu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.