Recent content by magomaje

  1. M

    Wassira, Ndugai, Sendeka, Kigwangala walaani uchochezi wa Mtwara! Kigwangala ataka Dr Slaa Akamatwe

    Wacha Kupotisha Umma wa Watanzania, kwa jinsi Lema anavyowapeleka mchaka mchaka CCM wangekuwa na kosa lolote dhidi yake lazima wangemfikisha kwenye vyombo husika!!! kawadanganye watoto wako!!! labda wewe ndio mwizi wa magari.:becky::becky::becky::becky:
  2. M

    Mkurugenzi Arusha ataleta vurugu

    Wana Wa Nchi Muda wa kuongozwa na watu wenye fikra mfu na akili mbovu umepitwa na wakati, sasa ni muda wa kufanya mambo kwa umakini na waledi, Tutasimama imara kupigania kweli na haki, kamwe hatujarudi nyuma, Wana wa Arusha, sheria inawaruhusu wanachi wote kuingia kwenye Vikao Vya Bunge na...
  3. M

    Nape Nnauye na John Mnyika yupi mwanasisa bora kwa 2012?

    Ndugu zangu, napata wakati mgumu sana kuelewa ni vigezo gani vimefanya mleta mada akaamua kuwalinganisha Nape na Mnyika na hata kuwashindaninisha Nape na Mnyika, mim naona kama Mnyika anamzidi Nape kwa kila hali, ingekuwa vema kama nape angelinganishwa na watu wenye upeo mdogo kama yeye na sio...
  4. M

    Hongera Lema! Hongera Chadema!

    Ndugu Nape, napata wakati mgumu sana kupokea pongezi zako ama kuzielewa, mwaka jana ulipokuja Arusha kwenye kazi zako za unenezi wa chama (CCM) ulisema kwamba Lema anavuliwa Ubunge na tume ya Taifa ya Uchaguzi itatangaza uchaguzi mwingine ambao una uhakikika CCM itashinda,,sasa leo baada ya...
  5. M

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Sahihisho Kamanda Nyerere, kwenye picha ya kwanza juu kabisa, wa kwanza mwenye Tshert ya M4C ni kamanda Kilewo (katibu Wa Chadema Kinondoni, Wa pili ni Kamnda Joshua Nassari (Mbunge Arumeru Mashariki) Kamanda Mbowe (KUB) Kamanda Lema (Mbunge Arusha mjini) na Kamanda Aman Golugwa (Katibu Wa...
  6. M

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Wana wa Nchi, Nimshukuru sana Mwenyezi Mungu, Hatimaye Haki imependeka, mwaka 2010 nikiwa Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha mjini chama changu kilinipa dhamana ya kuwa Meneja Kampeni wa Kamanda Lema, kazi ambayo niliapa kufanya kwa Moyo wangu wote, hali kadhalika nilipewa jukumu la kusimamia...
  7. M

    Baada ya kuapishwa kuwa Wakili wananchi wa Simanjiro wamwandalia mkutano wa Hadhara James Millya

    Wana wa Nchi, Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia siku njema tena ili tuweze kuendeleza harakati za kukomboa taifa letu. Aidha nichukue fursa hii adhimu kumpongeza Wakili James Ole Millya kwa kula kiapo cha uamininifu kuwa Wakili wa Kujitegemea wa Mahakama kuu...
  8. M

    slaa kutogombea tena?

    Wana wa Nchi, Natanguliza Shukrani kwa Mola wangu, Watanzania wenzangu, kimsing ni miaka miwili tu imepita tangu tumalize uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na bado tuna miaka mitatu mbele kabla ya uchaguzi mwingine mwaka 2015, ingawa ni mapema sana kuanza kuzungumzia nani atakuwa rais au nani...
  9. M

    Lema katutapeli shamba aliloomba kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi

    Wana Wa Nchi, Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kutujaalia uhai, Nimeisoma na kuielewa vema mada yako ndugu Lengio, wenye kichwa cha habari "Lema katupapeli shamba alilo omba kujenga hospital ya Wazazi" Napenda kueleza mambo machache ambayo yatakuwa na umuhimu...
Back
Top Bottom