Ni UTOTO tu, akikua atajitambua na kuacha maigizo. Kuna kazi nyingi kweli za kufanya ktk Wizara hiyo,dogo hazioni badala yake anaigiza aliyoyafanya Mzee Magu. Ubunifu ni muhimu ktk kusimamia maendeleo ya Nchi na Wananchi, siyo maigizo. Anyway, ni mwanzo, labda watabadilika.
Kuna containers(HEWA) zilikuwa zinapitia Bandari ya Mwanza (Mwanza South Port) kwenda nje ya nchi(transit), but ki uhalisia hakuna container yoyote iliyokanyaga Mwanza, ni documents tu zilikuwa zianaingizwa kwenye System(TANSIT/ASCUDA++) na kuonyesha zimekaguliwa na seals zipo intact. Inspector...
Ni kweli, kama hatuipati raha/furaha kutoka Taifa Stars, itabidi tuitafute nje ya Taifa Stars. Charles Boniface Mkwasa apewe uhuru, apewe mahitaji yote muhimu kwake na kwa team, asiingiliwe na yeyote nje ya Bench la ufundi, apewe matches za majairibio nje na ndani, na aachiwe jukumu hilo for 3...
Sijui ni hofu au ndo kuishiwa sera! Wanasiasa ongeeni sera za vyama, siyo kumuongelea mtu. Tupeni sera mbadala ya kututoa hapa tulipo, twende mbele hatimae tufike ktk nchi ya ahadi. Richmond, escrow n.k. kwa sasa hayana msaada kwa Mtanzani, tupe mipango mipya ya chama chako na thibitisha kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.