Recent content by magole

  1. M

    Kwanini Magazeti yanampuuza Kingwangalla?

    Ni UTOTO tu, akikua atajitambua na kuacha maigizo. Kuna kazi nyingi kweli za kufanya ktk Wizara hiyo,dogo hazioni badala yake anaigiza aliyoyafanya Mzee Magu. Ubunifu ni muhimu ktk kusimamia maendeleo ya Nchi na Wananchi, siyo maigizo. Anyway, ni mwanzo, labda watabadilika.
  2. M

    Tetesi: Hatima ya kigogo wa polisi dar mikononi mwa kitwanga

    Kova keshatuchezea cinema nyingi sana tena za hatari, aende tu akapumzike.
  3. M

    Masamaki na wenzake watimiza masharti ya dhamana, kuachiwa karibuni

    Kuna containers(HEWA) zilikuwa zinapitia Bandari ya Mwanza (Mwanza South Port) kwenda nje ya nchi(transit), but ki uhalisia hakuna container yoyote iliyokanyaga Mwanza, ni documents tu zilikuwa zianaingizwa kwenye System(TANSIT/ASCUDA++) na kuonyesha zimekaguliwa na seals zipo intact. Inspector...
  4. M

    Masamaki na wenzake watimiza masharti ya dhamana, kuachiwa karibuni

    2.2 Billion @? Ni Watumishi wa Serikali yetu kweli or wafanyabiashara? Sijui, but mmmmmh!
  5. M

    Freeman Mbowe anazidi kuipaisha CHADEMA

    Mbowe ni MPANGO WA MUNGU.
  6. M

    Waziri alipa jeshi la Polisi siku moja kujieleza

    Makampuni mengi ya ulinzi ni Ex Senior Police/TPDF Officers.
  7. M

    Vifaa vya magari vinapatikana mtandao gani hapa nchini?

    Nahitaji WIND SCREEN(Kioo cha mbele) cha NISSAN SERENA(Petrol), model ya 1998. Nipe bei yake.
  8. M

    Tanzania closing all hydropower plants

    There is a Company called IPTL,iko wapi?
  9. M

    Joseph Haule(Professor Jay) azindua kampeni mikumi

    Proff J ni lazima mjengoni. He's GOOD and well talented young Commander. BIG UP.
  10. M

    Edward lowasa mwanasiasa mwenye political torelance ya hali ya juu

    Huyu mtu ana hekima sana. Hata ku resign uwaziri mkuu aliongozwa na hekima zaidi. He was born to be a leader, ni wakati tu.
  11. M

    Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

    Ni kweli, kama hatuipati raha/furaha kutoka Taifa Stars, itabidi tuitafute nje ya Taifa Stars. Charles Boniface Mkwasa apewe uhuru, apewe mahitaji yote muhimu kwake na kwa team, asiingiliwe na yeyote nje ya Bench la ufundi, apewe matches za majairibio nje na ndani, na aachiwe jukumu hilo for 3...
  12. M

    Tunachimba visima bei nafuu sana

    Mimi nipo Dumila Morogoro, mnawezaje kuja ku survey na kunishauri? Gharama ni kiasi gani?
  13. M

    Unaweza kuhisia hapa ni wapi?

    Calinze Dar.
  14. M

    Sitta Ataka Mdahalo na Lowassa Kuhusu RICHMOND; Asisitiza Kuwa Lowassa ni Fisadi!

    Sijui ni hofu au ndo kuishiwa sera! Wanasiasa ongeeni sera za vyama, siyo kumuongelea mtu. Tupeni sera mbadala ya kututoa hapa tulipo, twende mbele hatimae tufike ktk nchi ya ahadi. Richmond, escrow n.k. kwa sasa hayana msaada kwa Mtanzani, tupe mipango mipya ya chama chako na thibitisha kuwa...
Back
Top Bottom