Unajua mm sikatai shark mbona uta wapata watu mpk elf 40000 kwamita ila vifaa watakavyo tumia nifeki ya hatari kwangu mm kua na wateja 10 kwa mwaka niheri kuliko kua nawateja 100 kwamwaka ambao wameniulia kampuni kwakua tu nimewakea vifaa vyabei yachini kisha wanatangaza kampuni yangu inatoa huduma mbovu
Mm kwangu mita nachimba kwa elf 65,000 we ukipata kwa 50,000 huria minangalia gharama za vifaa vyenyeubora na mudawangu wafanyaji wakazi kisha naweka bei
AAya mkuu karibun