Kwani Zito kashindwa? Kama ni hivyo leo nafanya sherehe. Mnafiki mkubwa yule jamaa , ndumila kuwili wa kiwango cha PhD
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siku zote unapomsaidia mtu , fanya Kama unatoa sadaka lkn ukingojea shukrani unapoteza muda wako. Mungu anajua ulichokifanya atakurudishia maradufu kwa namna usiyoijua unachopaswa kufanya ni kumsamehe na kuendelea na maisha mengine.
Kama mnaishi pamoja anakosea Sana kukunyima , ndoa ni makubaliano yenu wawili Kama mlikubaliana kuishi pamoja iweje leo ageuke? Ningemuona yupo sahihi kama angehimiza ndoa ili kuhalalisha.
Ushauri wangu kwako Kama kweli unampenda fanya taratibu za ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.