Recent content by magnifico

  1. magnifico

    JamiiForums Tanzania Juni 11, 2026: Siku ya kimkakati? Huku kesi ya Lissu, kule Bajeti ya Serikali na uzinduzi wa Kombe la Dunia

    Huyo Lissu hawana chochote cha kufanya wamzime hadi kilichofanya apone lile shambulio la risasi kitimie. LISSU NI MPANGO WA MUNGU.
  2. magnifico

    JamiiForums Tanzania Je, Samia Suluhu hajui kuzima MIC za Urusi? Putin ainglia kati kumsaidia

    Teknolojiaaaa!
  3. magnifico

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe La Dunia Nike waachia tangazo lao la mpira wa miguu lililogharimu Tsh. billion 150

    Rungu max watajua AI.
  4. magnifico

    JamiiForums Tanzania Hawa wangesikilizwa huenda mambo yangekuwa mazuri. Kinyume chale vijana wamepelekewa shinikizo!

    Sehemu yoyote atapohusika Makonda tegemea series ya mambo ya kipuuzi.
  5. magnifico

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanyakusa kiboko

  6. magnifico

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: Rais Samia alinikabidhi mamlaka ya urais wakati anaenda nchini Urusi

    Sijaelewa mkuu! Kumbe aliyemuita Yuda ni John Heche wa CHADEMA?
  7. magnifico

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi na ushauri kwa Rais wa TFF, Wallace Karia: Linda misingi ya Mpira wetu kitaalamu

    Huyo unayemshauri ni huyu au? https://www.jamiiforums.com/threads/wallace-karia-kuna-ma-tundu-lissu-wa-kwenye-mpira.1543555/
  8. magnifico

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Heche, Lema, Sugu na Boniyai acheni kelele, njooni wote kwenye mdahalo mimi niwe peke yangu

    Huyo akabidhiwe kijana wa BAVICHA atamtosha kama akikosekana wa BAWACHA.
  9. magnifico

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Aitishe kura ya maoni aone wananchi wanataka ugali au Katiba.
  10. magnifico

    JamiiForums Tanzania Siasa za kumtaja Rais na kumsifia kila mahali hadi kwenye michezo zinaisaidiaje nchi?

    Simply unaongea kitu unachokiona ila huelewi. It's not okay to be dumb though!
  11. magnifico

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Marekani ya jamiiforums ni dhaifu sana.
  12. magnifico

    JamiiForums Tanzania Siasa za kumtaja Rais na kumsifia kila mahali hadi kwenye michezo zinaisaidiaje nchi?

    Sehemu fulani sehemu gani? Na kutamani kuwa sehemu fulani kumeanza awamu hii? Kwanini huko nyuma hatukuwa na mpasuko kwenye michezo?
  13. magnifico

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Sijaelewa mkuu! Hiyo ziara ameifanya kama mama?!
Back
Top Bottom