Recent content by magnifico

  1. magnifico

    JamiiForums Tanzania CCM hatukutaka kabisa Lissu na Heche wawe wenyeviti. Hawa jamaa hawafai wataiua CHADEMA. Tunaona pengo la Mbowe.

    Wazee mnakumbuka kipindi kile CCM wanalalamika kwanini Mbowe haachii madaraka awapishe wengine?
  2. magnifico

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

    CCM ikianguka Yanga tutarudi kwenye kutembeza bakuli. Pesa za GSM zina makandokando.
  3. magnifico

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Kigezo kipi kinatumika kuitambua Zanzibar kama taifa la Kiislamu?
  4. magnifico

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tuliishtaki Yanga FIFA, ile barua waliijibu na watu wa Yanga wanajua nini kilitokea

    Maana nchi ipo kwenye matishio ya ugaidi si ndio hivyo?
  5. magnifico

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tuliishtaki Yanga FIFA, ile barua waliijibu na watu wa Yanga wanajua nini kilitokea

    Lakini nchi si ina magaidi? Hapo Mzalendo nani sasa, wewe au Heche?
  6. magnifico

    JamiiForums Tanzania FALSE Je ni kweli Marubani wa Ndege Hula Chakula Tofauti Wanapokuwa Safarini?

    Yeah ni kweli kabisa. Kwa mfano mimi siku nikila Ugali Mgebuka basi Co Pilot atakula Ubwabwa maharage. Na hii ni Air Gamboshi sijui mashirika mengine.
  7. magnifico

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Mama Mjane aliyehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kununua mihogo ya wizi ya shilingi elfu kumi .

    That's it?! Kuliko kuwavunja moyo wenye nia ya kutaka kumsaidia unaonaje ukafatilia uhakiki wa hii taarifa? Ni ikithibitika ni kweli uko tayari kumsaidia?
  8. magnifico

    JamiiForums Tanzania Khalifa Said jina lako linajadiliwa muda huu mezani kwa yule ‘Msabato Asiyejulikana’

    Kanuni ya haki inasema hivyo.
  9. magnifico

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    "We are all born ignorant, but one must work hard to remain stupid." Albert Einstein. Ujinga wa mtu hauna uhusiano na Wazazi wake.
  10. magnifico

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Naamini kwa ratiba iliyopo hatutakuwa na Katiba mwaka 2028

    Huko kwenye system kama kuna wenye hekima waliokoe taifa hili. Tukipita hiki kipindi bila mabadiliko ya Katiba wala tume ya uchaguzi, 2030 hali itakuwa mbaya zaidi ya tulichokiona 2025.
  11. magnifico

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutapeliwa ? Nini huwa ni sababu kuu ya mtu kutapeliwa kirahisi?

    Bwana Mabula ulitapeliwa kizembe sana.
  12. magnifico

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Ameboresha ufisadi, ameboresha wizi wa kura..
  13. magnifico

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Serikali ikiwa na project ya hovyo, BAKWATA watapewa kipaumbele. Ubwabwa kilo tano tu Ustadhi anaanza kutoa povu anatisha kukata vichwa raia.
Back
Top Bottom