Uwezo wa kumnyonga Lissu hawana. Ila Lissu uwezo wa kuwavua nguo na kuionesha dunia madudu yao anao.
Whether tuko Afrika au wapi wakumnyonga Lissu hajazaliwa bado.
Hii ni red alert kwa Ndugu zetu Maaskari. Mtatumikishwa kwenye kazi chafu lakini itapofika muda wa uwajibikaji Wanasiasa watakaa pembeni wakikuachia jumba bovu upambane leo.
Lissu anakuvua nguo vizuri tu.
Ukitaka kuamini King'amuzi ni King'amuzi angalizia hiyo stream yako karibu na wanaocheki kwa TV. Wanaanza wao kushangilia sekunde 10 baadae unafata wewe.
Ni sawa ukae na mtu anayesikiliza mpira kwa redio. Dunia ya sasa watu wanataka vitu in realtime hizo IPTV ni nyongeza tu.
NI vyema ukaambatanisha na sheria inayomruhusu askari kuchomoa funguo ya chombo chako.
Sisapoti alichofanya ila mara nyingi fujo huwa zinaanzishwa na fujo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.