Recent content by magnifico

  1. magnifico

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    "We are all born ignorant, but one must work hard to remain stupid." Albert Einstein. Ujinga wa mtu hauna uhusiano na Wazazi wake.
  2. magnifico

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Naamini kwa ratiba iliyopo hatutakuwa na Katiba mwaka 2028

    Huko kwenye system kama kuna wenye hekima waliokoe taifa hili. Tukipita hiki kipindi bila mabadiliko ya Katiba wala tume ya uchaguzi, 2030 hali itakuwa mbaya zaidi ya tulichokiona 2025.
  3. magnifico

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutapeliwa ? Nini huwa ni sababu kuu ya mtu kutapeliwa kirahisi?

    Bwana Mabula ulitapeliwa kizembe sana.
  4. magnifico

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Ameboresha ufisadi, ameboresha wizi wa kura..
  5. magnifico

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Serikali ikiwa na project ya hovyo, BAKWATA watapewa kipaumbele. Ubwabwa kilo tano tu Ustadhi anaanza kutoa povu anatisha kukata vichwa raia.
  6. magnifico

    JamiiForums Tanzania Nandy na Billnass wafanya kufuru kwenye birthday party ya NayaBill

    Wakitoa misaada na camera wanaita show off, wakifanya kimya kimya wanasema hatujawahi kuwaona wanatoa misaada.
  7. magnifico

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    October 29 haijawafunza kitu bado? Bado mnaamini mnapambana na CHADEMA?
  8. magnifico

    JamiiForums Tanzania Undumilakuwili huu wa TEC na Kitime mpaka lini?

    Umesahau Lipa Namba.
  9. magnifico

    JamiiForums Tanzania Mpira wa Bongo sasa hivi brand kubwa inalipa; Fei anaandaliwa signing fee ya bilioni 4 na mshahara 120M, Okello kacheza nusu msimu tu kauzwa bilioni 2

    Ni maoni tu nadhani. Unaweza kuamini kuamini kuna watu wanamuona Cristiano Ronaldo wakawaida?
  10. magnifico

    JamiiForums Tanzania Mpira wa Bongo sasa hivi brand kubwa inalipa; Fei anaandaliwa signing fee ya bilioni 4 na mshahara 120M, Okello kacheza nusu msimu tu kauzwa bilioni 2

    Ukicompare anachoingiza Mzize na chako basi utagundua Masikini sio Mzize.
  11. magnifico

    JamiiForums Tanzania Kagonga boda, kakimbia kisha kadakwa

    Kuna mdau hapo kauliza Bodaboda akigonga huwa anasimama?
  12. magnifico

    JamiiForums Tanzania Walokole ni kundi maalum

    Matapeli hao, wapo wengi sana.
  13. magnifico

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Anguko la CCM litaponya majeraha mengi sana.
  14. magnifico

    JamiiForums Tanzania Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

    Kwani Aden Rage alivyowaita Mbumbumbu mlijua anachekesha?
  15. magnifico

    JamiiForums Tanzania Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Tabu ipo palepale.
Back
Top Bottom