Recent content by magnifico

  1. magnifico

    KERO Barabara za Mbondole – Msongola hazipitiki, iwe jua au mvua!

    Hiyo ni Dar, vipi Simiyu? CCM hata muwape miaka 1000 mingine, mwaka 3030 watakuja na sera hizi hizi za maji, barabara na madawati. Wanaoshabikia CCM wote washirikina!!!
  2. magnifico

    KERO Kuna Mwalimu anabagua Wanafunzi. Anapendelea wanaoenda ‘tuition’ yake tu Shule ya Msingi Katusa - Sumbawanga

    Hii nayo ya kuileta JF? Utaratibu wa kuchapana maakofi haupo siku hizi?
  3. magnifico

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Wasioamini wako obsessed na Mungu kuliko hata wanaoamini. Mungu hivi, Mungu that.
  4. magnifico

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Kwanini hayo maridhiano wasifanye na ACT na CHAUMA walioshiriki uchaguzi? Si tulikubaliana CHADEMA ilishajifia?
  5. magnifico

    Kwanini wateja wanatumia “mna” na “wingi” wanapoulizia bidhaa? Ni saikolojia au mazoea ya lugha?

    Kuna jamaa angu akiendega dukani anauliza "Sukari kilo tano shingapi?". Akitajiwa bei anasema basi naomba nusu. Kavu sana.
  6. magnifico

    Makonda: Tunaongea na Meta 'contents' za Kiswahili, malipo yaongezwe

    Kwa kichwa gani cha kujenga hoja mbele ya Meta?
  7. magnifico

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal player blocking the Goalkeeper🚮 Football is ruined.
  8. magnifico

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Arsenal player blocking the Goalkeeper🚮 Football is ruined.
  9. magnifico

    Iran imetekeleza hukumu ya kifo kwa watu watatu waliokamatwa kufuatia maandamano ya Januari akiwemo Mwanamieleka wa miaka 19

    Kama unaamini hii utakuwa unaamini pia Walioandamana October 29 hawakuwa Watanzania kama alivyosema Rais wako.
  10. magnifico

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Makosa ni ya Refa kutomaliza mechi.
Back
Top Bottom