Recent content by magilapeak

  1. M

    Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

    Fact gani alizotoa tayari mnamajibu mnayo yataka endeleeni nayo
  2. M

    Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

    Mk Mkuu kumbe unamajibu unayo yataka na hutaki kueleweshwa,Wakatoliki wa jimbo la Dar asilimia kubwa tulikua tunajua Baba kadinali akifikisha miaka 75 atastaafu na anafikisha miaka hiyo August2019 na hata mwenyewe alishaongea huko nyumba,hata alivyokuja Luwaichi tulijua ndio atakua askofu mkuu...
  3. M

    Tuliompa Lowassa kura zetu tukutane hapa tumueleze kuwa "Kumpa kura Magufuli ni ndoto ya mchana"

    Mzee aache kujidanganya zile kura zilikua sababu yuko upinzani na wananchi walio wengi wanataka mabadiliko,mzee apumzike tu hana impact yoyote sasa
  4. M

    Kipi unajivunia kwa mpenzi wako wa zamani?

    X wangu popote ulipo nimekukumbuka sana hasa ktk situation ninayopitia kwa ss,nilkuumiza kwa kuachana nawe kwa ghafla ulijua dhamani ya mwanamke hujawah niumiza ulinipenda vile vikadi vya I love u mara nimekumic aisee nakumbuka sana ulikua kubembeleza bwana namie navyojua kudeka acha tu siwezi...
  5. M

    Mzee Malecela, Lowassa na Mbowe wamzika mama Mercy Anna Mengi

    Mkeo ana bahati hongera baba!wanawake weng tunapenda kuwa na wanaume aina yk lkn ndio daah ni maumivu kwa kwenda mbelw
  6. M

    Shinikizo la juu la damu (High blood Pressure) Fahamu chanzo, kinga na tiba ya tatizo hili

    Mama aendelee kumeza dawa za presha na kichwa kitapona ninatatizo km hilo nibadilisha madr wa macho mpaka basi mmoja ndio akaniambia ni presha baada ya kumeza dawa nimepona kichwa vizuri akabadilisha mfumo wa maisha apunguze chumvi
  7. M

    Nini faida ya kuoa kwa sisi wanaume?

    Huyo msaidizi unalala nae chumba kimoja?usiangalie haya mambo ktk ujana,ni km moshi unapita kwa haraka sana.
  8. M

    Baada ya neno "kuunga mkono juhudiI" kukosa uhalisia, sasa wamekuja kivingine

    Muone aibu kidogo na huruma na pesa za chaguzi za marudio zinazoendateketea.Muwe na ubinadam
  9. M

    Uvumilivu una kikomo chake

    Ndivyo mnavyojidanganya km cha mtandaoni mbona mnafukuza mawakala wao ila haya yana mwisho
  10. M

    Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

    Wala sio aibu ni km alivyokutunza ww kwa mapenz yote na as wewe ujue ni jukumu lako kuwasaidia,wazazi wa ss wanajituma sana tena kwenye kufatilia watoto wao kwakweli wanajitahidi tofauti na wazazi wetu wa zamani.
  11. M

    Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

    Kama ulilelewa na wazazi hauwezi ongea hv,ukikumbuka walivyohangaika kukusomesha kwa shida toka kindergarten na kipato chao kidogo wakahakikisha unapata elimu bora,mpaka unamaliza chuo nawao ss uzee unaingia nguvu zile za kuchacharika zimepungua kwann usiwasaidie ni roho mbaya na ubinafsi.
  12. M

    Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro atangaza kuachana na chama hicho! Ajiunga na CCM

    Hameni tu kwa watanzania gani mnaowatetea wasiojielewa kwani yy hapendi kuishi maisha ya amani na familia yk.Hata kina mbowe nendeni mkaunge mkono juhudi za mheshimiwa labda watz tutapata akili
  13. M

    Ubaguzi huu wa kielimu ni wivu baada ya shule za serikali kukimbiwa, tutazalisha vilaza (gvnt school) badala ya vichwa

    ww ni shida siwezi kubishana na ww uliyekariri ada sh milioni 10 unajua sana ada mpaka laki 9 kuna shule nyingi tu zipo hv kwa hz shule za uma kweli nikamtoe kafara mtoto wangu ni big NO,ushauri boresheni shule uma
  14. M

    Ubaguzi huu wa kielimu ni wivu baada ya shule za serikali kukimbiwa, tutazalisha vilaza (gvnt school) badala ya vichwa

    kwanini lisiwezekane kuboresha shule za uma?Wanaopeleka watoto wao huko hawana mbadala baada ya shule za uma kua ni mbaya hebu jiulize darasa moja lina watoto 200 ni mwl gani atawamudu wao wote na masilahi yenyewe kiduchu,serikali iboreshe shule zake uone hz za kulipia zitakavyo kosa wateja...
  15. M

    Serikali inataka kuua na kuzorotesha shule binafsi?

    Hapa naona ni wivu tu unawasumbua tutasomesha watoto wetu shule za binafsi kwa tubiashara hvhv vidogo na chuo pia.
Back
Top Bottom