Recent content by Magidanga

  1. M

    U.S. tells Rwanda to immediately end support for M23 rebels

    Pk ni raisi na anajua ujenz wa uchumi. Hvo alienda kufanya kama walivofanya na yanavofanya mataifa ya magharibi mpaka leo hii. Tanzania imelala ndo mana inashobokea huu mgogoro lakin je ni vibaya kwa rwanda kula cha africa? Sion haja ya malumbano hapa
  2. M

    Tendwa: Kwa hili la Red Brigade, Nitaifuta CHADEMA!

    Nitasema akifanya kweli maana anaweza akawa alikua anaota akajikuta kapongea tu. CDM oyeeeeeeeeeee
  3. M

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    Mhhhh mi sisemi nisijetekwa km wezangu akina kibanda na ulimboka
  4. M

    January Makamba awataka wananchi wawalaumu wabunge wao kuhusu kodi ya 1,000 kwa kila laini

    Sa kama mm baba angu nilimnunulia sim ila huwa haweki vocha bali huwa nampigia kujua familia na ukoo wangu unaendaje. So atakatajwe? Au watafnga laini yake? Makamba feki
  5. M

    Images: Pres Barack Obama in Senegal

    Kama kawa kama dawa ila naona wamevaa bajaji watoto wa obama na mkewe vp maisha magum mpaka waje tz kutafta?
  6. M

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Duuuu ni ajabu na kweli nape anaelekea kubaya sijui kama atapewa tena hayo madaraka na wenye akili timam wakimaliza muda wao 2015. Labda ahame na nchi mana anawavuruga watanzania kwa uvivu wa kufikiri.
Back
Top Bottom