Usilazimishe kila mtu aamini unachokoiamini, tunataka viongozi na si washabiki wasiokuwa tayari kujisimamia, mwache asimamie anachokiamini na zaidi asimamie maslahi ya Taifa na Jimbo lake na si hoja ya zito ingawa kwa jinsi ninavyoona hoja hii inamashiko sana ingawa si lazima kila mmoja aamini...
Hata kama jimbo la Segerea litabaki wazi bado siamini kama anaweza kuchaguliwa mbunge bora katika siasa za ushabiki zilizoibuka na kuongozwa na kundi la wasomi wenye nia ya kupitia dirishani baada ya wasomi wenzao kufunga mlango na kumeza funguo. Itakuwa bora zaidi kama watanzania wataligundua...
Anayechukia kukosolewa ni mwoga wa ukweli, waache wabunge waikosoe na waielekeze serikali ikibidi watumie mamlaka yao ya kikatiba kuiwajibisha, wabunge pia wajifunze kwa tukio hili kwani hata wao waliitisha serikali ilipowanyima ongezeko la posho, pande zote zicheze mchezo wa haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.