Recent content by Magambo99

  1. Magambo99

    Umefika Wakati wa Warioba Kunyang'anywa Kadi ya Uanachama na CCM?

    Kama hujui kaaa kimya kwani warioba kaanza kusema kwel leo, wameumbuka wanawaza nan amfunge paka kengelele, gusa unate yule mzee anaijua nchi kabla ya kuwepo hapa duniania anajua siri zoooote ww unaongea simple tu uchukue kadi, ww kijana wakubwa wanawaza ww unakurupuka, fikili kabla ya kutenda...
  2. Magambo99

    Sasa ni dhahiri mpango huu ulikuwa ni wa serikali!

    Hahaaaa, hii nchi bwana
  3. Magambo99

    Umefika Wakati wa Warioba Kunyang'anywa Kadi ya Uanachama na CCM?

    Warioba ni mpango wa mungu hata iweje atakuwepo wala haogopi chochote na wakimuumiza ndipo kitanuka Tz.
  4. Magambo99

    Huyu ndiye aliwakodi wafanya fujo kwenye mdahalo wa leo

    Itafika kipindi hata kipofu ataona kiziwi atasikia na kiwete atatembea na wote watasema basi yatosha, sjui Chama kile kinachotumia dora wataendelea kutumia au watasalenda, tuombe mungu sana hii nchi haina muda mrefu machafuko yataanza tena mziki wake utakuwa mkubwa tumrudie mungu
  5. Magambo99

    Wanasiasa tuacheni wananchi tuamue wenyewe Katiba tuitakayo

    Sidhan kama akili yako iko sawa sawa
  6. Magambo99

    Katiba ya chenge na sitta laana mwili mzima

    Watambue tu dunia ya sasa ni ya wasomi siyo wababaishaji tena
  7. Magambo99

    Warioba: Mimi na Salim urais basi

    Huna mawazo funga domo mtoa maada ni mkeleketwa wa Chama fulani, hahaaaa funga domo hilo
  8. Magambo99

    Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

    Hakuna ubishi serikali iliyomadarakani mfumo wa jeshi la polisi iliyoanzisha sijui polisi jamii ulinzi shirikishi na kuweka vituo vya polisi kama njugu sehem zingine hakuna hta kaz utakutana na kituo cha polisi na siraha juu tena porini kwel hakuna usalama wa siraha zile, ni shiida tupu madhara...
  9. Magambo99

    Mapalala akacha kamati namba moja

    Tatu ndo mpango acha wakatae ila wakae wakijua ndo hitaji la wengi ipo siku wataidhinisha tu hasa nguvu ya umma ikichoka kuwavumilia
  10. Magambo99

    Mnyika: CHADEMA tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

    Maaandamano naunga mkono hoja Mia kwa Mia
  11. Magambo99

    Mnyika: CHADEMA tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

    Misukule ndo nn tumieni kauli nzur hata kama umetokea kwenye familia ya kipuuuz au chokora
Back
Top Bottom