Recent content by Magalagala

  1. M

    Mdogo wangu hajala siku ya pili form zake za mkopo hazitoki anaambiwa network busy wiki ya pili Sasa

    habr, mi pia nina tatzo kwenye hizi fomu za mikopo toka wiki iliyopita sijapata control number, kila nikijaribu inaniambia we are still working with your requst. Nifanyaje?
  2. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    ver xory..unaweza ukaja kufatilia personal utawala mkuu..kama jina limetoka ni lazima letter uipate pale
  3. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    admission letter unaipata kwenye website ya chuo www.udom.ac.tz.then fungua link ya kwanza kabsa (UDOM WEB) ..kwenye news and events kipengele cha 6 ni admission leter click hapo then fuata maelekezo yaliyopo utapata barua yako...if not kuna namba za simu hapo hapo utawapigia utapata msaada.
  4. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    ada pekee ndo unaweza kulipa nusu semester ya kwanza na the rest semester ya pili...vingine vyote unalipa kama ulivyoelekezwa.
  5. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    vuta subira..kwa experienve niliyonayo hua wanatoa batch 3 labda this time wabadilishe utaratibu..lakin pia kuhusu mwisho wa kulipa usijali co tatzo xna..hua halizingatiwi
  6. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Tawi lolote la crdb!! ila kumbuka kutokuchanganya a/c tu.
  7. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    huwezi kusajiriwa...anayesajiriwa ni yule aliyelipa direct cost,ada,na fee ya udoso. hata kama hujalipa mia 5 utarudishwa
  8. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    unatakiwa kulipa kila kitu kinachohitajika ndo unasajiriwa...hata kama ni mia tano utarudi bank utailipia ndo usajiliwe..
  9. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    wawakilishi wa madarasa hua wanapewa...utazipata hapo au library ukienda unazikuta
  10. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    sina hakika..but angalia vizuri TCU guide book utapata majib kamili
  11. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    mi ninakushauri uwe nacho..coz lazima uambatanishe katika registration form yako pamoja na form 4 certificat,result slip ya 4m6 na medical form...kuepusha usumbufu utakaojitokeza
  12. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    pouwa usijarii ur welcome havard of africa
Back
Top Bottom