Kwa comb ya EGM unaweza soma kozi gani nzuri wadau Ushauri


1. bsc irrigation &water resources engineering
2.bsc agriculture engineering
3. agriculture economics&agribussiness
zinapatikana Sua....
kwa no 1 na 2 lazima ufaulu geog&mathematics,pia lazima uwe umesoma physics olevel na ufahulu wa minimum D.
kwa hiyo ya 3 lazima uwe na ufaulu wa
economics&geog
 
Jaribuu udom geology, na geoinfomatics, ila lazima kichwa chako kiwe kinafanya kazi vizuri. Environmental science and engineering,
 
Omba BAF mzumbe, au education in math au economics....
Au jaribu geology udom.
Ukiona vipi nenda N.I.T
 
1. bsc irrigation &water resources engineering
2.bsc agriculture engineering
3. agriculture economics&agribussiness
zinapatikana Sua....
kwa no 1 na 2 lazima ufaulu geog&mathematics,pia lazima uwe umesoma physics olevel na ufahulu wa minimum D.
kwa hiyo ya 3 lazima uwe na ufaulu wa
economics&geog
mkuu kuna yyt unapga hapo?
 
Mkuu kasome building economics, town planning au land management pale ardhi university! I guarantee hautojuta kusoma hizo program
 
Agricultural Economics and Agribusiness (SUA) au Agricultural and natural resources Economics and Business (UDSM).
Karibu
 
kozi nzuri ni education... but kW kozi zngne especially hapa udsm lazma ufaulu vzur tia one kwanz AF siku ya kuomba ushaur ndo uongee kijana wang
 
Kama kwenu ni watu wa channel soma BAF-MU au BCOM-Accounting UDSM/IFM/TIA ila kama ni wa maisha ya kawaida hakuna channel ya kueleweka piga Education in Economics and Mathematics utakua na uhakika wa ajira uku unatafuta mishe zingine
Asikuambie mtu mdogo wangu uku mtaani hakufai hata kidgo watu tuna izo BAF/BCOM-Accounting ila bado hakijaeleweka na sio kwamba hatujafanya vizur la Hasha......................Ukisoma Education hatojutia kabisa maisha yako
 
Back
Top Bottom