Recent content by magahhe

  1. M

    Singida Kaskazini: Mgombea wa CHADEMA aliyepitishwa na NEC ajitoa kwenye uchaguzi

    Siasa si mapenzi, siku zote ukijiinza kweny siasa ni vema ukapambana na hali yoyote unayokutana nayo na pia kubadilika kutokana na nyakati kwa kubadilisha mbinu. Kama hujashiriki uchanguzi wananchi tutajuaje umeonewa? kwangu mimi njia nzuri ya kuwashtaki watawala ni kupitia kampeni kwa kuwa...
  2. M

    Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

    Acha umbea fanya kazi,mambo mengine ni matunda yatokanayo na kazi! Nani alikuambia magufuli anafanya kazi ya kuwabana watu wanatafuta kwa njia halali? Usitumie jina la rais kama rejea ya uzembe wako huko kwenu.
  3. M

    Mtulia rasmi CCM, poleni mliofanya harakati juu yake 2015

    Bei ya usajili na marupurupu imetajwa au bado ni siri ya mchezaji na timu yake mpya!
  4. M

    Ninathibitisha kauli ya Polepole kuwa CCM imeshinda kisayansi

    Nauliza tu, kuna sayansi bila takwimu! Tusaidiane na kueleweshana
  5. M

    Rais Magufuli amteua Janeth Masaburi kuwa Mbunge

    Hata jina la huyo mama limemsaidia kukumbukwa! mmmmm
  6. M

    MANYARA: Watu 7 wafariki na 14 wamejeruhiwa baada ya Noah kugongana na Lori wakati wakitoka kufunga ndoa

    Pole kwa waliofiwa na mwanga wa milele wangaziwe waliotutangulia.kifo ni fumbo takatifu.
  7. M

    Nisaidieni shule nzuri ya PCB Mwanza na Arusha

    Nenda kisomachi high school,ipo kilimanjaro -moshi Vijijini-Uchira. Ni private inayomilikiwa na jimbo katoliki la moshi.nikuambie na ada? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Tume ya Uchaguzi yatoa Ufafanuzi kuhusu wabunge wa CUF walioteuliwa

    Atakuwa amejibu tuhuma zingine wala siyo zile za cuf au mleta taarifa ni mweupeeeee! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Ni sahihi Mh. Rais kuzungumza lugha ya kabila lake katika mkutano wa hadhara?

    Anataka kisukuma iwe lugha mama kwa taifa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom