Recent content by magagagigikoko

  1. magagagigikoko

    TCRA waichunguze kampuni ya simu za mkononi ya Halotel

    Mimi wakinifanyia hivyo mara moja tu, napiga chini hiyo line yao. Hakuna mtandao wenye umaalum wowote sasa hivi, wote wanakaa na kukubaliana bei ya vifurushi. Mtandao ukinizingua tu naachana nao
  2. magagagigikoko

    Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, Mzee Maganda ametoweka, haijulikani aliko

    Sasa hao wanachama wanamtafutaje mtu aliyepotea ofisini. Angekuwa ofisini si wangemkuta. Hawaki serious aisee
  3. magagagigikoko

    Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Sijawafitinia kiongozi, nimewasahauri waone fursa. Labda Kama wameweka hivi karibuni maana nimetoka Dom wiki mbili zilizopita na Kampuni fulani sitaitaja wasijesema nawaharibia biashara. Mabasi mabovu sana aisee
  4. magagagigikoko

    Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Hakuna route yenye mabasi mabaya nchi hii Kama route ya Tanga Dodoma. Wafanyabiashara hawaoni hiyo fursa. Watu wanalazimika kupitia Arusha Kisha Dom kwa siku mbili kukwepa tu mabasi mabovu ya njia hiyo.
  5. magagagigikoko

    Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

    Una haraka gani unaandika vibaya hivyo au ndo upambe. Pamoja na hayo uliyoandika, nakukumbusha tu kuwa kina Sabaya wapo wengi na walitengenezwa na mfumo au kiongozi aliyekuwepo. Kina Makonda, Mnyeti ni miongoni mwa hao wachache. Wamiliki wa Maduka ya kubadilishia fedha, wangepewa nafasi ya...
  6. magagagigikoko

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) ana mtihani mkubwa sana akifanikisha hili anastahili tuzo

    Cheo chenyewe hicho ulichotaja hakipo. Tumekuelewa lakini tumia vyeo sahihi kulingana na taasisi husika
  7. magagagigikoko

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Pumzika kwa kwa amani Rais wangu. Matendo yako yatafutana nawe sawa na wema na huruma za Mungu. Misingi ya nchi imetikiswa sana na wengine hasa wale waliokuwa wanakusifu sana, walianza kuiba hata kabla hujaka roho. Mungu atupiganie kama taifa. Daima tutakukumbuka.
  8. magagagigikoko

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Tanga mmeanza mgap wa umeme? Mbona mwatukatia umeme kila wasaa bila taarifa tena kwa muda mrefu. Twauliza mara leo Kange hakuna, kesho makorora mara mwakidila na kwingineko. Shida nini??
  9. magagagigikoko

    Hivi ni sawa hili la kuhubiri ndani ya mabasi ya umma?

    Wangekuwa wanapiga disco kwenye hizo daladala usingehoji. Ila kwa kuwa ni neno la Mungu, unatuletea Uzi kana kwamba ni kitu cha ajabu sana. Acha injili ihubiriwe ndugu na sadaka ni hiari, waweza toa au usitoe
  10. magagagigikoko

    Gari ya Jaji yasababisha ajali baada ya kutanua, vijana wa ujenzi Mwenge-Morocco wagongwa

    Ofisi ya mtu hiyo, dereva naye analinda Ofisi yake. Akiligongesha mwisho wa siku atakuwa hana kazi ndo maana analazimika kukwepa. Hao waliogongwa bahati yao mbaya tu. Mungu awasaidie kupona
  11. magagagigikoko

    Waziri Jafo aagiza Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kusimamishwa kazi kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari

    Kaimu Mkurugenzi kaonewa. Yeye alitoa usafiri kama taratibu za Utumishi zinavyotaka, hakuelekeza marehemu abebwe juu ya carrier. Inawezekana watumishi wenzake ndo waliosababisha. Walitaka wakae ndani ya gari ili wamsindikize marehemu kwao. Hao waliobeba mwili na kuuoandisha huko ndo watuambie...
  12. magagagigikoko

    Karibuni wageni wote hapa JF

    Karibuni nyote hapa JF. Nyumba ya hekima haina mgeni wala mwenyeji, kazi ni moja tu hapa. Chota hekima yako tembea mbele. Wapo baadhi humu wana akili fyatu, na hao hawalosekani katika jamii. Hao ni wa kupuuza maisha yaendelee. JF Member
  13. magagagigikoko

    Kwanini Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo alikuwa anacheka kwenye msiba wa baba yake?

    Jambo usiloweza kulibadili, unapaswa kulikubali. Nadhani ndiyo siri muhimu kwa jokate. Hata kama angepretend kununa, kuhuzunika au hata kulia kwa kwikwi, hawezi kubadili jambo ambalo Mungu alishaliamua.
  14. magagagigikoko

    Nakupongeza sana Makaranga kwa uchambuzi na uelewa wako

    Nilikuwa nafuatilia mahojiano Clouds Plus channel kati ya mtangazaji aliyekuwa studio na huyo Dogo Frank Makaranga jioni hii. Kijana ana akili sana licha ya umri wake mdogo. Amefanya uchambuzi mzuri wa kisiasa kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu na hali ya upinzani nchini. Kwa uelewa wake na...
  15. magagagigikoko

    Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

    Hao mnaowataja mnawaharibia bila kujua. Mhe. Rais hapangiwi, na mnaowataja watu na kujifanya watabiri ndo mnawaharibia kabisa. Mwacheni Mhe apange timu take ya kazi
Back
Top Bottom