Nenda mwenzi wa tisa katikati couz sasa hivi wanafanya mobilization ya vifaa na kujenga nyumba vijana wapo wengi hawana kazi wanasubili mradi uchanganye
Posta kuna majizi sana sijui sifa sitahiki za kuajiliwa posta ni zipi sijui waziri hawe anafanya ziara za kushitukiza hapo posta daa mura hii kali kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.