Recent content by mafurikoyamoto

  1. M

    Nipo njiapanda

    yaani mm nkikuonaga moyo wangu unapasuka pwaaaaaaaaaaaaa!
  2. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    kasema ndio eti mtoto anahitaji ada.... ila dharura yake isiwe yangu..
  3. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    mwezi wenyewe dume ntaipata api mkuu.
  4. M

    Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

    aisee dada ww umetokea mkoa gani?? ala kiswahili cha wapi hiki?? kabila gani huyu>?? jf najifunza mengi kweli kweli
  5. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    ww yaonekana ni mtoto mzuri.....so ungekuwa ni ww ungenipa taf.....nijibu fasta naweza nkakufuata PM nkipata majibu mazuri..
  6. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    aisee sidhani ni mchaga alaffu mlevi sana....sema walikuwa yeye na mme wake wanafanya kazi bandari enzi izo basi wakatuibia wee wakaje nyumba kama tatu hivi..... mwakyembe kawatimua...sasa saivi wanategemea kodi ya pango tu....nahisi wamechanganyikiwa....
  7. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    ha ha ha mkuu watu wazima si wangejua nadanganya tu mm
  8. M

    Nimeaibishwa mbele ya mpenzi wangu inauma sana

    Wakuu nilitakiwa nilipe kodi mwanzoni mwa mwezi huu. Ila kwa hali nilionayo na majukumu nilionayo bado sijaweza kulipa hadi leo hii. Mama mwenye nyumba kanijia juu tena kwenye ofisi yangu mbele ya mpnz wangu aliekuja kunitembelea na mbele ya wafanyakazi wangu. Yaani aliongea na kunifokea kwa...
  9. M

    Kwanini huniamini?

    aisee unatembea usiku.... lazima ww ni mwanga unawanga..... bora umesema mapema nilikuwa nishajipanga kuhamisha majeshi kwako.....ila kwa sasa basi tena!!
  10. M

    Tendo la ndoa wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua

    hapana bwana baada ya siku tatu ndio utasikia maumivu baada ya hapo kitu ni mwake mwake watu tuna experience.
Back
Top Bottom