aisee sidhani ni mchaga alaffu mlevi sana....sema walikuwa yeye na mme wake wanafanya kazi bandari enzi izo basi wakatuibia wee wakaje nyumba kama tatu hivi..... mwakyembe kawatimua...sasa saivi wanategemea kodi ya pango tu....nahisi wamechanganyikiwa....
Wakuu nilitakiwa nilipe kodi mwanzoni mwa mwezi huu.
Ila kwa hali nilionayo na majukumu nilionayo bado sijaweza kulipa hadi leo hii.
Mama mwenye nyumba kanijia juu tena kwenye ofisi yangu mbele ya mpnz wangu aliekuja kunitembelea na mbele ya wafanyakazi wangu.
Yaani aliongea na kunifokea kwa...
aisee unatembea usiku.... lazima ww ni mwanga unawanga..... bora umesema mapema nilikuwa nishajipanga kuhamisha majeshi kwako.....ila kwa sasa basi tena!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.