Tuwe wakweli, hii issue kama ilivyokuwa kwa makontena si ya mtu mmoja au wawili, kuna mtandao mkubwa sana nyuma yake. Kumbe ndiyo maana hata vituo vya mafuta vilikuwa vinaota kama uyoga mpaka kwenye makazi ya watu. Hii nchi kweli ilioza
Faiza hayo unayoamini yamesemwa na Gwajima kama ni kweli hiyo inaitwa revenge tu kwani imani nyingine pia wamekuwa wakiyasema hata sasa (ukitaka ushahidi upo ingawa kwa nia ya kujenga hauna maana kuuleta hapa)!! Kama umesimama kwenye imani yako ni vipi imani nyingine ikutetereshe? Ndiyo maana...
Salaam kwako Faiza Foxy. WaTZ wengi hatujui siasa zinazoendelea kwenye nchi zenye migogoro na jambo usilolijua litakusumbua. Mengi yanayoonekana kwenye media ni propaganda kama hizi zinazoendelea sasa kuelekea uchaguzi mkuu.
Ni vema tujadili yanayotuzunguka na tuliyo na ujuzi nayo kuliko kuleta...
Unless your original post had to do with propaganda, you should have known the truth by now. Make sure you wake up early in the morning on Oct 25 and cast your vote to the right candidate. all the best.
Naiona Tanzania ikiingia kwenye vita vya udini miaka michache ijayo. Tuombe Mungu tuchague viongozi wenye maono watunusuru na hii mihemko inayoinyemelea taifa
Inawezekana mkeo alimchukia sana huyo mfanyakazi mwenzake wakati wa ujauzito wake ndiyo maana akamfotoa. Meza pin mkuu endelea na maisha, lah future kwishnei
Jambo usilolijua litakusumbua. Kasikilizeni sera tu za wagombea wenu maana kuhusu ndoa nyingi bongo ni majanga. Labda mfumo wa utawala ukibadilika tuje tuangalie upya sheria za ndoa kunusuru vijana wetu
Ni upi usafi wa serikali ya sasa na wateule wake wa ubunge? Tujibiwe haya tufanye maamuzi ya busara. Kama walioteuliwa ubunge ni walewale ambao mpaka JK alikuwa anapata shida kuchagua mawaziri tutegemee jipya gani?
When auditors are commissioned to do an audit to any firm, their starting point is type of system the firm is using and whether it complies or not. Tanzania is a republic government whereby the people through multi-party political system elect representatives to make and enforce laws. The...
Hizi kauli zitawagharimu ccm. Tafuteni namna nyingine za propaganda hizi zimepitwa na wakati na zinaiharibia ccm maana ndiyo waanzishaji wa wimbo huu. Tukianza haya hakuna sekta itakayobaki salama Tanzania maana kila sehemu watu wapo kwa c/o.
Yaani hapa ccm ndipo inapoharibu. Mtoa mada ungeyasema haya wakati yupo ccm na jinsi mlivyomshughulikia ungeeleweka. Ulichofanya ni revenge ambayo kwenye sheria haikubaliki na imekula ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.