Recent content by MAEMBE DAUDI

  1. MAEMBE DAUDI

    Familia yamuua baba aliyeua watoto wake 3

    Kwa nini aliua watoto hao huyo baba?
  2. MAEMBE DAUDI

    Hongera sana Paul Makonda, piga kazi

    Tunajuaje kuwa hakubaliki?
  3. MAEMBE DAUDI

    CHADEMA: Tulishaanza kumuandaa Katambi ili asaidie Chama kwenye kitengo cha sheria kama Wakili

    Ni sahihi kabisa,ili mtu aonekane amekomaa ni pale anapokuwa na uwezo wa kuwaza na kuwazua,kupanga na kuchagua,kuamua na kutenda.Hapo mtu anakuwa amejitambua kuwa yeye ni nani.Hivyo basi,kama wanavyoendelea kuhama toka ccm kuja CHADEMA wako huru vile vile kwa mujibu wa katiba kuhama CHADEMA...
  4. MAEMBE DAUDI

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Ikiongezeka tumshukuru Mungu
  5. MAEMBE DAUDI

    Godbless Lema: Waliogawiwa ardhi na Mugabe ndio hao hao leo wanaandaa maandamano ya kumtoa

    Hapo suala ni umri,at that age mtu anatakiwa awe amekwisha retire.
  6. MAEMBE DAUDI

    Pengo la Tundu Lissu Bungeni liko wazi kabisa

    Hao waliotaka kumuua Lissu wanatakiwa kujua kwamba mtu hadhihakiwi.Na kwamba damu ya mwenye haki ni azizi,haipaswi kumwagika hovyo.
  7. MAEMBE DAUDI

    Kipindi cha njia Panda

    Huyo jamaa namuogopa.Kama kweli alikuwa mdau wa mashetani,anatakiwa kabisa awataje kwa majina watu aliowabadili kuwa misukule na aseme alipochoma vitendea kazi vyake hao binadamu anaowaita misukule aliwapeleka wapi.Utasikia huyohuyo amekuwa mchungaji kwenye kanisa na anaponya na watu wanamfuata.
Back
Top Bottom