Jamani, naandika kwa majonzi makubwa. Jana nilishuhudia ajali mbaya ya mtoto mwenye umri wa miaka sita akigongwa na gari na kufariki papo hapo. Hii si mara ya kwanza kutokea katika eneo la Nyamikoma, Busega, mkoani Simiyu, katika barabara ya Mwanza–Musoma.
Kama mnakumbuka, mapema mwaka huu pia...
Mkuu sisi kama wazazi tulimfuata mkuu baada ya kupokea malalamiko toka kwa watoto wetu lakini majibu yalikuwa ya kumlinda mwalimu,sasa muda wa kwenda mjini ni shida,ninaimani viongozi wa serikali wako humu watachukua hatua dhidi ya tuhuma hizi
Duh mkuu kote huko tumefika hadi kwa mkuu wa shule ila wanalindana,tuntaka watumwe watu waje kuchunguza,ujue rimu 400 kuisha ndani ya miezi mitano ni hatari sana
Sisi wazazi tunaosomesha watoto wetu shule ya sekondari Venance Mabeyo tulikaa kikao cha wazazi na kukubaliana kila mzazi kuchangia limu moja kwa kila mtoto ili kufanikisha zoezi la ufundishaji shuleni hapo,cha kushanga watoto wetu wamekuwa wakipigwa kila Mara wanapokuwa kwenye mitihani ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.