Kweli watu wengi mna vichwa vya wenda wazimu, Muhongo ni kati ya vichwa vichache TZ vinavyoumiza wasio jali maslahi ya Taifa.Kubenea ataanzia wapi kama alithubutu kumwandama Mamnvi kwa ufisadi kwa muda wa miaka 7 Leo huyo huyo anamsafisha.Ajenda ya ufisadi upinzani hawiwezi tena!!
Sikuwahi kujua kama una akili ndogo kiasi hicho.
Kwa nini hatuhoji misaada inayotolewa na wafanya biashara nyingine ? Mfano Sabodo na Mengi wamekuwa wakitoa misaada mingi mbona hatohoji?
Kwa hiyo tulitaka apate misaada kutoka kwa wazungu?
Tabby unatatizo kidogo,
Jiulize haya Masawali kuhusu report ya Mwakyembe iliyomgoa Waziri Mkuu Lowasa
1.Mwakembe alisema Richmond ilikuwa ni Kampuni Feki ambayo haikusajiliwa sehemu yoyote Duniani.Je ilikuwa kweli?
2.Je umejiuliza kama Richmond ilikuwa feki Symbion ameinunua Richmond kutoka Kwa...
Kama ndio hivyo IPTL lazima apigwe vita pande zote,Haya Makampuni ya kigeni hayatakubali IPTL iuze umeme kwa bei chini.Watanzania kwa nini hizi habari hawaambiwi?
Historia inatuambia Huyu Bwana Rugemalira ndiye wa kwanza kuwaambia Tanesco hapa tunaibiwa,Myaka yote anatetea haki yake leo kapata tunaaza kuhoji.
Hivi Rugemalira akitoa misaada kwa jamii shida lakini misaada hiyo ikitolewa na wenzetu tunaona ni sawa.Hata vyama vya siasa/Wabunge wanapokea...
Tatizo kubwa la wanasiasa wetu huwa wanakurupuka bila kufanya tafiti.Hata Waziri anayejiita msomi wa daraja la kwanza anasema peza hizo ni chafu.Wakaiti huohuo ansema waliopewa na Rugemalira walipe kodi.Sheria za Kodi pesa Chafu huwa haitozwi Kodi(Je huyo waziri alikuwa anamanisha nini) au ndio...
Kama hiyo Document ni ya kweli basi chadema ni chama makini.Katibu Mkuu anapewa 80,000/= kwa siku hela ndongo sana.
Je Kinana anapewa Shs.ngapi? Wakati walimu wakilia na njaa,Hospitalini madawa hakuna?
Tuache argument za kipuuzi
Nadhani hapa baadhi yenu mnadandia hoja bila kuelewa taratibu.Iwapo Chadema walipeleka Hesabu ambazo hazikukaguliwa kwanini msajili alizipokea?
Chukua mfano,wa makampuni, yanatakiwa kupeleka hesabu zao zilizokaguliwa na Cerfified Public Accountant.Je kampuni ikifanya kinyume chake na TRA...
Wana JF, kuna mada nyingine zinahitaji kufikiri kidogo sio kukurupuka.
Kwa nchi yenye mipango mizuri kiuchumi cement inawezekana kuuzwa elfu tano.
Tujiulize bidha zinolipiwa kodi 50% nfano VAT 18%na exc. 25% .pia kuna subsidise method.
Kwa hiyo ndani ubepari unaweza uka control bei sio...
Tujadili kufanya kazi bila vibali. Walio wengi wanafanya kazi bila vibali na kama kuna mmoja bi boss anataka awabebe ndugu zake wote .
W tz inabidi tuwe wazalendo kwa kuwafichua watu kama hawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.