Recent content by madolaa

  1. madolaa

    Sheria ya kutokula wakati wa mfungo wa ramadhani

    Sijalazimisha ndo maana nkaomba kueleweshwa
  2. madolaa

    Sheria ya kutokula wakati wa mfungo wa ramadhani

    Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
  3. madolaa

    Pentekoste iliyochangamka

    Sa Roman imeingiaje hapo jmn
  4. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Jmn mnanitisha mwenzen
  5. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Oooh! Utapply chuo gan?
  6. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Ndy nko serious uyo mkandara ni nan?
  7. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Unaamansha niapply ntapata? Au lazma niwe na diploma yake kwnz?
  8. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Ndo kna nan ao mkandara?
  9. madolaa

    Yajue matumizi ya "When" na "While" katika lugha ya kingereza

    We mwalimu mzuri San naomba unfndshe kingereza kizuri hasa kuongea Hata ikinibidi kulipia
  10. madolaa

    Nataka kuapply Coz ya PSPA nitafanikiwa?

    Habari, naomba msaada nimemaliza diploma ya secretarial gpa 4.2 nataka kuapply chuo mwaka huu je, naweza apply coz ya PSPA?
Back
Top Bottom