Hivi mahakama iliporuhusu mgombea binafsi, bunge lilishashughulikia hyo sheria? Tanzania bado kuna sheria ambazo zina mfumo kandamizi, angalia sheria ya ndoa kuruhusu mtoto kuolewa. Mahakama inafanya kazi nzuri sana kutafsir sheria na kushauri vyombo vinavyotunga sheria lakini hvyo vyombo ndo...
Hitla alishawahi kuulizwa watu gani unawachukia akasema ni wanasheria kwa sababu kila nikisema au kutoa amri wanaanza kuhoji na kujiuliza ni sawa kisheria? Sasa kwa wanasheria na wanaharakati wa tz wataanzia kujiuliza kwa hili? Mungu amesikia kilio cha waja wake na hii imethibitisha kuwa haki ya...
Duuu, mbna hawa watu sio wabunifu, sasa si wamwage askar hapo walinde huku watu wanaendelea kuchangia damu!
Anasemaga Peter msigwa " akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa" nilikuelew sana msigwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.