Hayo ni malipo halali ila hujaambiwa ni ya nini.
Mimi nilipohama kutoka Halmashauri kuja Taasisi malipo yalikuwa yanaingia nikawa nawauliza wadau wananipa majibu.
Halmashauri nilikuwa nalipwa mshahara tu ila nilipohamia kuna:
●House Allowance kila mwezi
●Transport Allowance kila mwezi...
1. TIA ipo chini ya NACTVET sasa hapo TCU inaingiaje?
2. Kuandika hujui ila unajua kuhukumu bila vithibitisho vinavyohusu malalamiko yako.
3.Ungejua hakuna mwanafunzi amewahi kufanikiwa kwenye kesi za aina hio usingeleta mada hii Jamiiforums.
Kila kitu watu hawana imani si serikali wala familia zao.
Ndugu mtoa mada acha kukisia mambo ambayo huwezi kutolea ushahidi.
Mimi sio shabiki wa mpira, sipo Simba wala Yanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.