Hapana huyo hawezi kuwa kama kaka wala baba. Hakuna replacement ya ndugu wa dam au mzazi kwenye mapenzi. Nathan unaelewa. Labda kama unakua ushamchoka mwenza ndo unaweza kumwambia unamuona kama kaka, mama, baba nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.