Recent content by Madema The Don

  1. M

    JamiiForums Tanzania Haki ya Msingi ya Kusikilizwa kwa Anne Kilango Malecela!

    kama kubebwa wamabebwa sana kama kusamehewa wamesamehe sana kipindi cha Mh Jakaya Kikwete lakini hawabadiliki, Hawa watu bila kutowa mifano hatutafika hichi sio kipindi cha kubembekezana fedha nyingi zinatumika kulipa mishahara hewa halaf wewe unaficha majina ukifukuzwa eti kaonewa hivi kweli...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    Eti anawatisha watashidwa kufanya kazi watafanya kazi kwa hofu na uonga. sasa mbona kipindi cha Mh Jakaya kikwete aliwapamba na kuwabembeleza mbona hatukuona tija sana sana waliturudisha nyuma nakutufanya masikini. Binadamu bila kumukazia nakumpa azabu kali mambo hayawezi kwenda.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    kama kubebwa wamabebwa sana kama kusamehewa wamesamehe sana kipindi cha Mh Jakaya Kikwete lakini hajabadilika, Hawa watu bila kutowa mifano hatutafika.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Zitto upo wapi juu ya hili la ufisadi wa NSSF?

    Nilishapoteza imani na Zitto kitambo sana ni swala la mda tu hili jipu litabainika
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    hata siwaelewi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    hii nchi ni ya wa Tanzania wote hakuna mtu mwenye hati miliki ya hii nchi.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    huu ni ujinga na upumbavu iundwe tume ichunguze watoto wakislamu kwann wanafeli hv nyenyi waislam mna matatizo gan kwann mnajifanya your so special sana kila kitu nyinyi hamuishiwi kulialia hebu acheni upumbavu wenu. kwanza na shangaa Jamii forum kuruhusu thread ya kipumbavu kama hii mpaka hivi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Silent Ocean China hawapokei tena lose cargo, wanapokea makontena tu

    CBM 5 na CBM 26 Ndo sh ngap mkuu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anahitaji maombi yako

    EEEeeh mwenyezi Mungu uliye juu mbinguni tunakuomba utulindie Rais wetu mpendwa zidi ya maadui kwa akili na nguvu zetu hatuwezi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    haja zalilisha mtu hapo mh magufuli kaongea ukweli siku zote ukweli unauma sasa sio mda wa kubebana hapa kwanini akae kimya wakati hicho ndo wanafanya songa Rais wangu mtukufu tuponyuma yako tutakulinda MTU WENU KATUTIA SANA HASARA NCHI HII TUMEMVUMULIA VYAKUTOSHA .
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa ananikumbusha msimamo wa H.E.Sarwatt.

    Dr salute kwako
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni uwendawazimu kudhani tutaenda kwenye kampeni na Uchaguzi bila Dr. Slaa

    hata kura yangu mumeikosa sina mpango wa kupiga kura tena mwaka huu, Leo nimeamini kweli chadema ni mali ya Mtei na Mboe na sisi wengine tunatumiwa tu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ni uwendawazimu kudhani tutaenda kwenye kampeni na Uchaguzi bila Dr. Slaa

    Eti fisadi Lowassa leo amekuwa bora kuliko Dr slaa? chadema hatuwezi shinda urais bila nguvu ya Dr slaa huo ndo ukweli hati huyo lowassa anamwitaji dr sana kumpigia kampeni.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni uwendawazimu kudhani tutaenda kwenye kampeni na Uchaguzi bila Dr. Slaa

    Eti tutaenda kwenye uchaguzi bila Dr slaa nazani mbowe amechanganyikiwa Dr sio mtu wakupuuzwa kwenye hichi chama
  15. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa akodishiwa ndege maalum na wafadhili wake, Yagharimu mamilioni!

    Sina mtu ninae mtetea hapa ninaongea halihalisi ya mambo yalivyo, hata kwakumuangalia tu kwa macho inajionyesha kwamba Lowasa kunatatizo katika mwili wake.
Back
Top Bottom