Recent content by Madebwa jr

  1. M

    JamiiForums Tanzania Shule ya Sekondari Mkombozi: Sifika Danieli Rubeni alidanganya taarifa ya kuuzwa kwa nafasi yake ya kidato cha tano

    Mkuu wa shule ya sekondari Mkombozi ametoa taarifa kuhusu uvumi wa mwanafunzi aliyedanganya kuwa amefaulu na kunyimwa haki ya kusoma kidato cha tano, ikumbukwe kuwa binti huyu jina lake halisi anaitwa SIFAEL TAWEL ELIREHEMA Pia soma: Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mtoto Sifika Daniely Ruben...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

    Mtoto muongo sana jina lake anaitwa SIFAEL TAWEL ELIREHEMA na alipata daraja 0, hakusoma masomo ya sayansi alikuwa anasoma masomo ya sanaa. Nimeweka na photoentry yake pamoja na ya SIFIKA RUBEN
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kahama: Manispaa isiyo na barabara za lami za mitaa

    Tatizo hapo Kahama ni Mkurugenzi masuala ya barabara hana habari nayo kabisa mbaya zaidi yupo hapo tangu kipindi cha JK, kila mkeka wa uteuzi ukitoka yeye haguswi. Pia siyo barabara tu pia ni manispaa yenye stendi mbovu sana.
  4. M

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilimanjaro nije Kaliua, Nzega ama Kahama idara sekondari
  5. M

    JamiiForums Tanzania Latra kwenye hili mmewaonea Katarama Luxury

    Hizi huenda ikawa fitina tu za washindani wake hususani Allys
  6. M

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Same karibu na Tanga
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mwenye mkeka wa Same dc naomba
  8. M

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Maths & ICT
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mji wa Kahama unaongoza kuwa na vituo vya mafuta kuliko wilaya yoyote hapa Tanzania

    Yaani unamaanisha kuwa Igunga iko juu ya Kahama!? Kwa biashara zilizopo mji wa Kahama, Igunga imeachwa mbali sana. Naona unalinganisha kifo na usingizi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Same Kilimanjaro nije Kahama, Nzega ama Kaliua. Idara sekondari
  11. M

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Same Kilimanjaro
Back
Top Bottom