ualimu kwa sasa unakimbiliwa na watu wengi ili wapate mkopo na ajira mapema kwa sababu binafsi ikiwemo economic structure ya nyumbani kwao hasa kwa wanaotoka familia maskini watu wanafaulu kwa one za kutosha tu wako education na watu wanavithree vyao wako kozi zingine za kikuda bila kuangalia...
ama kweli huyu jamaa ni chaguo la mungu ndo maana vi ccm siku hizi vimekuwa vipole vikada vya ccm vinaongea kama wanaopelekwa machinjioni sifa tunataka mabadiliko hatuangalii makunyanzi ukawa hoyeeeeeee.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.